Hello,hope you all well and good,i did research about this 2 coarses but the information i found on various website actually i wasn't satisfied with it,so i decided to ask for your opnions about...
poleni na kazi jamani!!!!! naomba msaada kwa anaejua au kwa aliena na form ya kujiunga na chuo kikuuu cha ST JOSEPH cha DAR CIVIL ENGINEARING...... nitashukuru kwa msaada wenu...
Wanasaidia wanafunzi wasiojiweza:
1. Wanachukua 30,000 kwa watanzania maskini.
2. Mtanzania maskini analazimishwa kutuma maombi kwa njia yenye gharama kama 12,000 (EMS)
3. Mtanzania maskini...
Daktari mmoja aitwaye Abuu aliingia hospital kwa
haraka baada ya kupigiwa simu kuwa alitakiwa
kwa
ajili ya operesheni ya haraka sana.Moja kwa moja
bila kupoteza muda Dr Abuu aliingia katika
chumba...
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu wanalazimikakufanya medical Examination wakati wanapojiunga. Hivi kwa uhalisia uliopo hivisasa kweli kuna mwanafunzi anayefanya hivyo vipimo vilivyoorodheshwa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,nimemaliza degree yangu ya kwanza!!ktk chuo kikuu cha DSM(UDSM)..malengo yangu ni kuendelea kusoma MASTERS ya project planning and management ambayo ada yake...
Samahani sana wakubwa nilikuwa naomba kama kuna mtu anajoing instruction ya Tumaini Makumira Mbeya aniattachie nidownload na anaejua ada za hostel aniarifu tafadhali.
Ni jambo la kusikitisha watoto wa form two ambao wameanza mtiani wa Taifa siku ya leo kitaifa,huko karatu shule ya sekondari wel wel mambo ni tofauti kabisa baada ya robo ya darasa kufukuzwa...
ndugu zangu wale wa mwaka wa kwanza kama umezoea kujisomea peke yako huko advance chuo ni sehemu ya kushere na kudiscus na wenzio ukijichimbia peke yako utadondokea pua na ukajuta baadae penda...
Kama umechaguliwa kusomea computer science naomba uniforwadie admission letter zao ulizotumiwa kwenye email yako(spam)
email yangu ni:jamesmichaely@gmail.com
Ndugu wana JF. Naomba kufahamishwa endapo mwalimu ameandika barua kwa ajili ya kuomba uhamisho kwenda mkoa mwingine. Na barua hiyo ikapitishwa na mkurugenzi wake, je akitaka kuipeleka ikasainiwe...
Leo wanafunzi wa kidato cha pili wameanza mtihani ambao utatoa picha juu ya nani aendelee kidato cha 3,nan akariri darasa na nani aende nyumban moja kwa moja.Wakati huo huo kwa baadhi ya shule...
Katika gazeti la habarileo la jumatatu Agosti 5,2013 mwandishi alimnukuu mkurugenzi wa mawasiliano wa heslb akisema"mpaka wakati wa kusitisha kupokea maombi kwa mwaka huu,wanafunzi 54370 ambao ni...
wana jamii wa jf heshima kwenu kwa ujumla....nasikitishwa sana na hiki chuo kikongwe hapa nchini kutumia utaratibu mbovu wa utoaji vyeti kwani vyeti vinachelewa sana takribani zaidi ya mwaka...
Mimi ni Miongozi mwa Wanafunzi wa DUCE niliyefanya Mtihani wa SUPP mwaka wa tatu.Cha kushangaza Matokeo mpaka Leo hayajatolewa isipokuwa kwenye masomo niliyokamatwa wameweka _**To Supp.GPA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.