Hello Sir/Madam,
You have been identified as a key person to be a participant in my master's degree research survey process.
This survey is intended to gather data for the research titled "...
Habari zenu wanaJF
Ningependa kufahamu au kupata taarifa kwa yule anayefahamu,.!!
Maombi yanayotumwa kupitia wizara ya afya kwa ajili ya kozi za afya na kuchaguliwa chini ya wizara ya afya...
Basi kama mjuavyo mimi ni mgeni humu jf kwahiyo niombe radhi kama hii post haitakuwa mahali pake.,,
Bas after college nikaamua kutafuta tempo wakati nikisubiri serikali yangu sikivu. Mungu mkubwa...
Chuo cha Muhimbili ndicho kimekua cha mwisho kutoa selection ,wametoa ijumaa iliyopita,tar20/9/13, wanasema reporting tarehe 07/10/2013, barua za admission hazijatoka, hivi wanafikiri watu wote...
Excellence Management International Co. Ltd, informs all college and university students that there will be training program known as Practical and Simplified Research Report writing which cover...
Je kwa sisi amabao hatukua na mkopo last year lakini tukajikongoja kwenda chuo wenyewe, na mwaka huu tukaomba mkopo ,
majina au matokeo yetu yako wapi coz kila alieomba hajapata matokeo yake...
habari hapa nilipo nipo na zaidi ya wanafunzi 40 ambao wanazitambua haki zao za msingi na madai maana tumechoshwa na majibu ya kijinga na ya kiupuuzi kutoka kwa bi.dada anayejiita eti meneja wa...
jaman leo ilitubidi twende Wizara Ya Elimu sehem ya kwanza nmeanzia kwa Waziri wa Elimu na nilikaa faragha na MKURUGENZI WA ELIMU YA JUU na KATIBU MKUU ILI KUJUA NI VIPI WATU WAMEKOSA HUKU HANA...
administration ya chuo kikuu cha mwenge hatimaye yaamua kuwasaidia wanafunzi wake ambao wamekosa mkopo huku wakikizi vigezo vyote ya kusecure mkopo.
Wanafunzi hao wametaarifiwa kuwa na uhakika...
pongezi za dhati ziwaendee wanaharakati wote waliojitolea leo kwenda wizara ya elimu na ufundi ili kutetea na kujua nini hatma ya elimu yao pamoja na mikopo
Pili niwashukuru waandishi wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.