Nenda kwenye email yako utakuta username na password ya kuingia kwenye profile yako ya chuo [suasis] hapo uta downlod addmissin letter na student invoice pia utaona registration namba, over.
naomba kuwakaribisha wanaopenda kujisaidia na kusaidiwa wanapokwama ili wainuke. ni wakati wa kuzungumzia namna ya kujinasua kwenye kilio cha ajira kwa vijana hasa wahitimu wa vyuo vikuu.
kwa...
Share kipengele cha course unayoiweza na m1 inayokutatiza hasa kwa upande wa Mathematics & Statistics na nyinginezo. Usisahau kutoa ushauri ambao unafaa!
karibun sana hapa SUA ila mje kusoma maana hapa kudisco ni kawaida kuliko kuendelea.kwa taarifa tu rais wa chuo mwenyw amedisco so chuo hakina rais.
Alaf naomben mniambie kwa waliopata mkopo...
Jkt wameongeza tena majina mengine ni wale ambao tar 28 hakuepo herufi kuanzia K had Z. Majina haya mapya yameambatanishwa na yale ya jana ya wanafunzi walopata 4 na 0.
Rejea mada twajwa hapo juu kuhusu mada hiyo ya uuguzi.natafta chuo chochote kile kiwe na kozi ya uuguzi.unaweza nisaidia kama unavijua pia karo yake.sijalishi cha serikali au binafsi.ntashukuru sana
wakuu leo ni tarehe tatu mwezi wa kumi mshahara wa mwezi wa tisa hatujapata hivi serikali wanadhani sisi tunaishi vipi? nauli za kwenda huko shule tunatoa wapi? haya ni mateso makubwa sana
wadau mimi nimechaguliwa chuo kikuu mlimani. Chaajabu nimeomba mkopo lakini nimepewa zero kabisa yani kwa ufupi ni hata hela ya kula wameninyima. Hapa nilipo familia tunamtegemea mama na nina...
Wanajamvi nmefanya upelelezi kuhusu hizi kozi mbili lakini sikuridhishwa nazo kama kuna anayezifahamu vizuri na kwa undani naomba anielezee kwa kuwa nimechaguliwa Udom Bcom in Management...
Wanabodi wa jf
Katika hali ambayo CHADEMA wamefanya la maana Mpango wao wa kutaka kubeba zigo la serikali kuwapatia wanafunzi pesa ya kujikimu.
Kiongozi mmoja ambaye pia ni Mbunge wa CHADEMA...
Kwanza na penda kutanguliza salaamu kwenu wadau wa JF.Napenda kuwa juza kwa wale walio chaguliwa kwenda chuo cha uhasibu yani na maanisha TIA, Ebu ni eleze sifa za chuo hicho kwanza ma lecturer...
Habari wanajamii..
Nipo mbele yenu naomba ushauri ili niweze kufanya selection iliyo sahihi. Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3, natakiwa fanya selection kati ya hizi
1.AGRICULTURE ECONOMICS...
jamani hawa the gurdian nao wanakwaza,sababu gazeti la leo linadai HESLB wamedai kufunga milango ya mikopo.Lakini tusikate tamaa twendeni huko huko hadi kieleweke
kwa hali ya kawaida haiingii kichwan eti bil 306 zilizotengwa eti zimeisha,na kwanza walisema watatoa mkpo kwa mwaka wa kwanza kwa wanafunz 35000 na mbona wametoa kwa wanafunz 29750 je idad...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.