Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

JAMANI NAOMBA MNIANGALIZIE HESLB ME SIMU YANGU HAINA UWEZO INDEX NO:S0549/0217/2010 UNAWEZA KUNITUMIA KUPITIA NAMBA HII 0759824023;naomba xana wana jf mnisaidie ;
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilisoma thread moja ya successful loan applcants na nataka kuuliza kuhusu hizo hela za mkopo ni tunazipata chuo pale pale ? kila mmoja ? au inakuaje wana JF
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa aliyepo online muda huu naomba uniangalizie jina langu tafadhali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna Kipindi katika kuperuzi peruzi kwangu nkakutana na hii site iitwayo MeetNawe Welcome , ilinibidi kuiangalia mara mbili mbili kuamini ni zao la vijana wa hapa hapa Tanzania. Pia nilishangaa...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
naomba kujua kuhusu gpa kuanzia 1st class mpaka chini
1 Reactions
7 Replies
42K Views
Wanafunzi waliokuwa jkt waliambiwa watrudishiwa gharama zao za nauli walizotumia kwenda kwa kuangalia tiketi...matokeo yake hawajafuata tiketi wametoa kiasi pungufu na nauli aliyotumia...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Hiv ukipata sapu ama ukicarry g.p.a inapungua?? na hyo sapu na kucarry kunaweza kukasababisha usiajiliwe mapema ama usipate kazi kabisaaaaa! tuambizane wadau wa jf
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Source: Intelijensia. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu heslb wanatarajia kutoa majina ya wanafunzi watakaopata mkopo kwa msimu wa masomo 2013/14. Kinachosubiriwa ni TCU kuwasilisha...
5 Reactions
60 Replies
19K Views
Hand shake wakuu.... sijui ndio structure ya lifestile there at downtown universities, vijana with popular trends za mtoni hadi inatia mashaka.... i definately suggest that spanking at the...
5 Reactions
354 Replies
17K Views
Habar wan jf,,,hatimaye tcu wametoa majina ya wanafunzi waliokubaliwa maombi yao ya kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine na pia wanafunzi waliokataliwa maombi yao,,,,,p'se tembelea website yao...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
  • Closed
bodi inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwa wanafunz wote,pili zile pesa walizopewa na serikali walijikopesha wenyewe kwanza xo baada ya faida kupata ndo na nyinyi mnafata ndo maana...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Nmesoma tangazo lao kwa 1st year na wanaoendelea kuhusu malipo ya direct cost na tuition fee wamesema mwisho n tar 30 sept las ivyo hawataruhusiwa kufanya usajili tar 12 nngeomba kujua je hzo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa mwenye majina ya waliochaguliwa udom kozi bachelor of science in health information sytem anipostie,tafadhali
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Najua utajiuliza y nimeishukuru JKT, nimeishukuru JKT kwasababu baada ya JKT kuona wanafunzi wanstahili kwenda chuo ikasema wanafunzi waandike barua na hapo ndipo udhaifu wetu ulipojitokeza, mpaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamii forums! Mie nimebahatika kumiliki kiescudo nomade toka mwaka 2010. Gari inachemsha sana hata ikiwa silensi pia gia hazijibadili. Naomba kwa wale tu mafundi wa gari za aina ya suzuki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni msaada kwa yule anaye jua kuhusi majina walio chaguliwa kwenye 3rd round selection from Nacte |CAS .maana mimi sijui naombeni msaada wenu au kama alie ona
1 Reactions
1 Replies
1K Views
mdogo wangu amesoma( hgk) na amepangwa kusoma degree ya computer science,hiv inawezekana kubadili koz katika chuo hichohicho? maana hesabu ni tatizo kwake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna mdogo angu ana mimba na alchaguliwa kwenda jkt xa cjui ingekuaje jaman
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Niko mbali na dar so nashindwa kuchukua joining instruction kama wewe unayo soft copy(pdf file) naomba uni2mie kupitia e-mail yangu bernardbnmhagama@gmail.com au kupitia hii JF.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…