Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Majina ya waliopata mkopo yamepelekwa kwenye vyuo mbalimbali ambavyo vimewahi kufungua. Chuo cha Uongozi wa Kodi(Institute of Tax Admin) yamebandikwa kwenye notisi bosi.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wizara ya elimu imesema kwamba inarudisha madarasa ya o-level kwenye shule zilizokuwa na a-level tupu lengo ni kuwapa nafasi watoto wa darasa la saba ambao wanaufaulu wa kati na ambao wamekosa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF naombeni msaada ntawezaje kupata list C hadi K kwa LOAN APPLICANTS TO CORRECT NECESSARY INFORMATION IN THEIR LOAN APPLICATIONS kwa sababu kila nikifungua web ya HELSB napata list yenye...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wenu,mimi nimesoma nje nchini Uingereza elimu yangu ya kuunga unga nikapata foundation degree in business management,ambapo ningekua na nguvu ya kuendelea kusoma kule ninge...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ndg zang nazan n wazma wa afya:me nmechaguliwa SAUT-MBEYA CAMPUS natokea Dar nmeambiwa kko pembeni ya mji wa mbeya xo ningependa kwa wale wanaojua hiyo sehem wanielekeze jinsi gani nitafka...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Nitangulize salamu zangu kwenu wanajamvi. Nimechaguliwa katika course ya barchelor of science in urban and region planing katika chuo cha ardhi . Nahitaji kufahamishwa kuhusiana na hii course hasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye uelewa na kozi niloitaja,manufaa yake katika ajira,naomba anisaidie ufafanuzi kabla cjafanya course admission tar 1 octoba
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Naomben mnijuze baadh ya vitu ambavyo unatakiwa kwenda navyo kwa sasa kabla ya tar 12 oct na mambo mhm mnayokutana nayo huko natanguliza shukran kwenu wakuu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
JAMAN aka wana jf kuna habar kwnye website ya jkt kuwa wanafunz wote wanatakiwa kwnda shule....habar inaendlea na inatakiwa udownload xo simu yang haina uwezo bhax anayeweza ku2fanyia msaada...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu shule ya kwanza ya serikali tanzania nasikia ni TANGA TECHNICAL ilijengwa na wajerumani miaka ya 1890s , je shule hii inaenziwa vipi na serikali
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba yeyote mwenye ujuzi wa software inayoitwa ORION DESKTOP inayotumika sna na ma-suppliyer ktk bussines anijuze kwa ufupi inavofanya kzi.:A S new::A S new::A S new:
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Enzi nipo kidato cha 5 na 6 tulikuwa na mwalimu wa physics, mwalimu huyu alikuwa mweupe sana, maswali karibia yote alikuwa akisolve hafiki mwisho yanamshinda. Lakini alikuwa mtu wa vistory vingi...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Wadau JF, Naomba kujua taratibu za kuanzisha BABY CLASS/NURSERY SCHOOL(Lengo ni kuwafundisha watoto wadogo kuandika,kuimba,kusoma,kucheza na kukuza ufahamu wao,halikadhalika kuwalea watoto wadogo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
"nimalize depo nikamwone mama,we nimalize depo nikamwone baba,aiyayaya iya iyo mama x2...MWISHO WA MAFUNZO MUJIBU AWAMU YA PILI frm JUNE 24 TO SEP 27!!...tc me kuruta wa mungu [updated-boy]
0 Reactions
14 Replies
5K Views
jama nashindwa nifanye nini kwasababu nimeshachukua admission letter na wanahitaji tulipe asilimia 60 ya ada ambayo ni 1million na laki moja ivi..kiukweli familia yangu haimudi kunilipia hiyo pesa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Nacte wameachia mzigo ilakwa wale wa 3rd round selection kama ukitaka kucheki fanya hivi, www.nacte.com after that go to Nacte | Task Force for Accademic year 2013/2014. clik after that go to...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
BARUA YANGU KWA RAIS.(Serious).Habari yako mheshimiwa Rais?Kwanza kabisa heshima yako,shikamoo na Pole sana na kazi zakulitumikia Taifa letu. Mimi ni mwalimu wa shule ya msingiMatakapola, iliopo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau awaMu Ya 3 IPo au tunapeaNa Pressure tu? NaombeNi msaaDa haPo
0 Reactions
46 Replies
13K Views
inatakiwa kutoa tamko moja la wanafunzi kidato cha sita, na sio kuacha nidhamu za uoga tumezungushwa vya kutosha this year....waziri wa elimu yuko waap kutoa tamko.
1 Reactions
96 Replies
7K Views
kama mada inavyojieleza, hakuna awamu ya tatu kwa mwaka huu, kilichotokea ni tatizo la kiufundi, taarifa hizo zilikuwepo tangu mwezi wa saba.
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…