Kwahiyo wizara ya elimu ongezeko la division one ndiyo kukua kwa elimu? Nimechukia sana division kujaa kama njugu huku mtaani? Huku watoto wenu wakiwa na poor reasoning kabisa mwishowe tunazalisha...
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza
Ni ujinga wa kiwango Cha juu sana kumlinganisha mwanafunzi ambae Ili aifikie shule anatembea km 1 au zaidi na mwanafunzi ambae anasoma na kuishi shuleni...
Wapendwa habari,
Naomba nijitokeze hapa na kero ya shule ya msingi kisemvule pwani. Wadau wa elimu, shule hii imesahaulika kabisa?
Shule hii haina madawati, madarasa machache. Shule hii ina...
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo January 29,2023 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022 ambapo Watahiniwa wa Shule 456,975 kati ya Watahiniwa 520,558 wenye matokeo...
Kuna utitiri wa kozi zinafundishwa vyuoni zinazosababisha unemployment rate katika taifa letu kukua kwa kasi.
Nabadala yake watoto wanahitimu hizo kozi wanabaki hawana ajira lawama zote zinabaki...
Nawapa salamu wanajukwaa, wala tusitumie muda mwingi sana tuingie moja kwa moja kwenye mada tajwa.
Baada ya Baraza la mitihani la Taifa-NECTA kutangaza matokeo ya kidato cha nne ambayo yametoka...
Salamu na kazi iendelee.
Kichwa Cha habari kinasomeka.
Kwa lugha ambayo sio pendwa ni wale wanafunzi waliofeli.Nikitaka kujua idadi yao nafanyaje wapendwa.
Msaada wandugu.Msije mkasema nina NGO...
Kila sehemu Kila Kona utasikia walimu wamegawiwa VISHIKWAMBI na kusisitizwa wavitumie kwa maswala ya elimu tu! Wengine wameambiwa ole wao watakaovitumia kivingine
Binafsi sipingani na kauli hizo...
Katika maisha Kuna slow learner na fast learner.Sasa Cha ajabu katika masomo yanayohusisha vitendo vyuo vya afya walimu wanakuwa wakali.Ukiuliza swali kwenye practical badala ya kusaidiwa...
Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys...
Wazee wa JamiiForums unavyozungumzia suala la shule za serikali zinazoingia 100 Bora katika matokeo ya mtihani wa Taifa kidato Cha nne ni special school pekee zinazoambulia patupu je special...
Kwa wale waliohitimu na waliopo masomoni(ACSEE) . Nahitaji
*experience s za waliofanya mock (advance) kwenye exam room kanda zote mfano EZEB ..n.k
*Na hivi ni kweli inakua ni migumu(Mkoa wa Dar...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nimepokea taarifa walimu wanapewa mikataba Ili kuhakikisha walimu wanapata matokeo mazuri. Mikataba hiyo inaanzia mkoani kuja mawilayani kufika kwa Kila...
Wakuu napenda kuwatafuta Watanzania waliosoma Bournemouth University cha Uingereza. Kama kuna yeyote aliyesoma huko tuwasiliane jamani. Tumesota sana na baridi la Uingereza pamoja na ugumu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.