Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Guys, for so long we have been waiting for this, visit your TAIS ACCOUNTS NOW to see your results. I thank God that am safe there!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wakuu napenda kuwataarifu kuwa join instruction kwa wanafunz waliochaguliwa I.F.M kuwa fomu za kujiunga na chuo hiko zinatoka officially jumatatu 09/09/2013 nawasilisha....
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujua kitaluma kama wanajitahidi , na mazingira ya CBE yalivo . Na Je ni zipi changamoto za apo CBE ya Dar es Salaam
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hbr za hm ndan nilikuwa naomba mnisaidi adaptation of ear to its function.i need only 7 adaptation of ear to its function
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana jf? Kama kuna mtu anajua kuhusu chuo cha unesi kiko mbagala chalambe naomba msaada wa kujua chochote kuhusu hicho chuo. Maana kuna mdogo wangu anapenda kujiunga nacho. Nazani...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Ninawakumbusha wanafunzii waliochaguliwa kujiunga na udsm wahakikishe wanabeba vyeti vyote muhimu vinavyohitajika vyeti hivyo tayari nimesha viainisha kwenye post ya jana.hakikisha...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
leo nimepata joining instruction ya www.mzumbe.ac.tz na nimekuta kuna sehemu ya declaration kwa mwanafunzi,sehemu hiyo inauliza TAYARI UMEPITIA JKT?,UTAJE NAMBA YA JKT YA KWAKO NA NAMBA ,JINA LA...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Unatangaziwa kuripoti wapema baada ya kupata taarifa hii ktk shule ulochaguliwa ukiwa na living certificate na accademic certificate yako...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale tulioomba hizo degree za muhimbili kwa diploma qualification hatujajua hatima yetu..website yao bado haina kitu, mwenye kujua atusaidie jamani, tunakufa kwa presha jamani!!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani hao watu kweli walipata vyuo. Kuna anaejua kama lilitekwelezwa kwa hao darasa la saba kupata chuo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
:help:Samahani wakubwa hivi majibu ya diploma kwa wale waliofanya registration mwezi ulopita yashatoka?? manake naingia sana kwenye web yao lakini sina mwelekeo..shukran
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna habari nazisikia kwa watu kuwa eti wote waliochaguliwa kwenda degree level kwa kutumia diploma qualifications hawapewagi mkopo unless anaenda kusomea education.Nafahamu humu jukwaa lazima...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Habar wakuu naomba kufahamishwa juu ya uwezekano wa mtu aliyechaguliwa Bvm kwa matokeo ya diploma anaweza pata mkopo?mm nimechaguliwa kozi hiyo na wazazi wangu hawawezi kunisomesha private so...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Si Vibaya Kama Tutajuana Hapa..
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hii nayo ni usanii mtupu, jamaa wamebadilisha tu jina la "Advanced Diploma" kuwa "Higher Diploma", ati wanadai wamefuta kiwango hicho cha elimu! Usanii! Stashahada za Juu zafutwa na...
0 Reactions
20 Replies
13K Views
habari zenu. Kwanza niwape pongezi kwa kudahiliwa katika chuo hiki cha sekomu. mwenye swali kuhusiana na sekomu aniulize hapa.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Suala vijana kwenda au kutokwenda jkt limekuwa tata kwa vijana wanaotegemea kujiunga elimu ya juu huku wakishindwa washike lipi kutokana na tamko lililotolewa na waziri wa ulinzi bungeni na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Chuo kikuu cha kimataifa cha kampala tawi la Dar es Salaam kinatoa lini majina ya waliochaguliwa kujiunga mwaka wa masomo 2013 /2014
0 Reactions
4 Replies
3K Views
MZUMBE UNIVERSITY (CHUO KIKUU MZUMBE) E-mail: mu@mzumbe.ac.tz...
0 Reactions
11 Replies
32K Views
BUNGEN!Naam kama ilvyoada,wazir mkuu muheshmiwa mizengo pinda muda c mrf amectsha bunge na kuzngumzia mamb meng,walosilha wameckia,USHAUR KWA WABUNGE,mnaporud majmbon hebu kbla hamjafanya hvyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…