Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ninatafuta wa kunibeba udsm mwaka wa masomo-2013/2014 Mabibo Hostel au Main campus, yeyote wa jinsia ya kiume alie tayari kunibeba awe mwaka wa kwanza, mwaka wa pili au wa tatu atakaepata chumba...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Ikiwa baadhi ya vyuo wanawahi kufungua vyuo kabla hamjawasilisha mikopo ama dhamana za kuwalipia walengwa na ikiwa baadhi ya vyuo hawakusajili mpaka uwe umelipa ada yao,na ikiwa lengo la bodi ni...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Naomba nijulishwe kama majina yameshatoka
0 Reactions
4 Replies
836 Views
jaman udom bado hawajatoa tarehe ya kuripoti na gharama? Maana walisema mwanzo wa mwezi huu: mnasemaje wadau?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
karibuni wote wa st john marks centre dsm 2tete mawili matatu kuhusu chuo chetu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hallow my friends,leo nimekuja na changamoto mpya,je ni kweli kuwa sasa hivi watu wanafanya dini kama sehemu ya biashara?
0 Reactions
1 Replies
799 Views
jaman kwa wale wenyeji mwuce, tunaomba msaada wenu wa mawazo kwa ss wagen
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Background ESTABLISHMENT The Tanzania Commission for Universities (TCU) as a body corporate established under the Universities Act, No. 7 of 2005, is mandated to recognize and accredit the...
0 Reactions
9 Replies
23K Views
Sasa kaz imebaki kwa heslb,,,,kuwatia presha hawa jamaa ni kitu cha muhimu sana,,,wanajamv,,,,maana ili jukwaa wanapitia watu wengi sana,,,wadau wa heslb,,pia wanapitia sana tu,,,Alafu wiki mbili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa yoyote ambaye amechaguliwa katika chuo mojawapo kati ya vyuo hivi naomba kufahamu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana jf kwa anayejua kama out wametoa majina ya undergraduate anijuze
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Habar wana jf naomba kujuzwa je ninaweza nkaomba kubadilisha chuo kutoka nlchopangiwa kwenda kingine na je prrocess zinaktaje!'ahsante!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingia kwenye website ya tcu then click list of selected applicant 2013/2014 afu fata maelekezo
1 Reactions
96 Replies
8K Views
tufahamishane kidogo kuhusu fomu lini zinatoka na orientation week ni lini inaanza na nasikia kuna shida ya maji je ni kweli.....!!!!!???
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ivi nacte nasikia kwamba eti huwa wana kosesha watu kuingia chuo kikuu eti ni ukweli? Maana na mimi nimo kwenye list not selected.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
baada ya kufungua page ya tcu nimekuta nimechaguliwa tcu, lakini sijaelewa procedure za registration pamoja na jinsi ya kupata hostel. kwa yeyote anayefafamu naomba anijuze.:help:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama una taarifa rasmi tafadhali naomba tujuzane
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Jamani wadau yeyote ambaye anajua kuhusu NBAA.maana mimi natakujiunga maana nina diploma.sielewi nitakuwa stage ipi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, katika mwaka huu 2013/14 wamewaacha wanafunzi wa sheria LLB na kuchukua tu wanafunzi waliomaliza BALE yaani usimamizi wa sheria na utekelezaji ambao wamespecialize kwenye upolisi.rai yangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie hivi katika shule za serikali shule gani ni the best katika performance?
0 Reactions
91 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…