Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Closed
Ni mda wa takribani mwezi sasa yale matoke yaliyokua yakisubiriwa yameachiwa watu kama kawaida kusaidiana kuyapata hata mimi yangu sijapata but naamini ntachomoka hata kwa mbinde. Kumekua na uvumi...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamani 2juane
0 Reactions
39 Replies
5K Views
jamani mbona mlochagulia na chuo hiki mmepoa sana? hebu jitokezeni tujuane for kampani! hebu nicheki kwa 0767182142 tufahamiane wa ngalamtoni.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada ndugu zangu,kwa anayejua kuhusu uwepo wa majna ya wa2 waliochaguliwa kuingia dip mwaka huu wa maxomo yametoka au?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadogo zangu huku kitaa hali ni ngumu ma graduate wamejaa huku ajira hakuna ukijidanganya kusomea kozi za arts tofauti na ualimu utasugua benchi kwenu mpaka uwakinai kama unajua wewe kwenu ndo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuhusu mazingra yake...! Na info zake.please kama ujui acha.
0 Reactions
26 Replies
10K Views
nisaidieni jama ni miaka saba sasa naspend holydei zangu hapa dar lakini sijawahi kufika CHUONI IFM na nimepangiwa hapo:help:
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jaman naomb kuuliza kwa anayefahamu tarehe ya kufungua chuo cha m.u.s.t kwa diploma ktk mwaka wa masomo 2013/2014
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Jamani mliochaguliwa SUA naomba mnieleweshe hiyo registration numbers unaipata wapi? na utaratibu wa hostel ni mpaka uwasiliane na chuo?
0 Reactions
2 Replies
765 Views
wakuu msaada juu ya feedback ya shule tajwa hapo juu
0 Reactions
12 Replies
6K Views
mm nilikosea kwenye aplication mara mbili nikaomba kwa njia ya fom six badala ya diploma.. nahitaji msaada kwani jina langu limeletwa kwa mara ya tatu sasa.. naweza kubadili kwa kutumia vocha...
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Wadau wanaoelewa kuhusu hiki chuo tafadhali naomba maelezoo kidogo
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Kama umechaguliwa mwalimu nyerere memorial academy tupia coment hapa tufahamiane wakuu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani, baada kuangalia kwenye website ya TCU, nimeona jina langu kwamba nimechaguliwa kwenda Udom. Lakini kwenye list ambayo imetolewa na Udom, jina langu halimo. Sijui tatatizo liko wapo!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi naombeni mnijuze na kunifahamisha kuhusu hii course inaitwa "BA(GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT STUDIES)" baada ya kuhitimu je kazi zipi ambazo mhitimu anaweza kuzifanya na pia upatikanaje wa...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Jamani naomba mnijuze Tumaini ya Dar vipi wameshatoa majina yao ya undergraduate ya degree ya 2013/2014
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Mimi ni teacher tena mzur tu, sijui nianzie wapi na niishie wapi ili nifanikiwe kuhama wilaya na mkoa nilipo kwa uhamisho wa kawaida. Na tamisemi inasemekana ndo ofisi husika. Nisaidieni mawazo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nimechaguliwa busines comunication and it <muccobs>, nilisoma hge bam nina f. . Cjui chochote kuhusu it naomba msaada kuhusu masomo ya i.t :- mathematics inayosomwa, soko la ajira yake, mshahara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naamin wazima waku, naomben msaada,maoni yenu kuhusu hzo profesheno hapo juu ip ni nzuri na ni bora zaidi na ina uwanja mkubwa wa upatikanaji wa ajira, natanguliza shukran zangu za dhati!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna opportunities za PhD scholarships for pure mathematics nje ya nchi. Mwenye nia au aliye na mtu anayemjua tuwasiliane kupitia PM. Mode naomba uiache hapa kwa muda ili watu wengi waione na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…