jaman msione aibu kusema hadharan kuwa umechaguliwa UDOM mbona mm nimejitokeza!, wakiponde eti cha kata hainitishi,najua maneno ya mkosaji 2, tukotane october UDOM, I LOVE U UDOM.
wale wa post graduate diploma na master mzigo unapatikana kwenye website ya ARDHI UNIVERSITY..sisi wa degree bado tuko bench tunasubiri kipindi cha pili
Hawa TCU kweli kiboko!
Si walisema kwenye tar 25 watatoa selection overall?
Hayawi hayawi sio lazima yawe!
Naona wameamua kufanya kweli!
Ila punguzeni mihemko jamani!
Matusi hayaruhusiwi!
Ndugu wanajamii hii ya Tanzania, kwa muda mwingi mmekuwa mkilalamika kuhusiana na kushuka kwa kiwango cha elimu nchini mwetu. Sababu nyingi zimekuwa zikitolewa na wakati mwingine zinashindwa...