kwa mwanadamu wakawaida anaweza fikiri kwamba kuwa na elimu kubwa eg masters,phd nk ndo kigezo kikubwa cha utendaji kazi kwa ufanisi kumbe sivyo. Authority ya kusema haya ninayo kupitia ofisi ya...
jaman polen na kusubiri selection ila zinakuja,kwa wale wenye uhakika wa kuja udsm natafuta wa kunibeba,niko poa sana napenda kucheka tu nitext 0685 733122 nitalipia kodi ya semister moja then...
ENGLISH LESSON
This is the best, most interesting English lesson I have had to date.
Did you know "listen" and "silent" use the same letters?
Do you know that the words "race car"...
Kumekuwapo na uvumi kuwa vyuo vitaanza mwezi january au february taarifa ambazo si sahihi,nasema hivyo kwa sababu hivi karibuni chuo cha Mzumbe wametoa tangazo kwenye website yao kuwa wataanza...
Wale ambao hawana muda wa kwenda vituo kutokana shughuli zao na wangependa wafundishwe nyumban wanaweza kuni pm.kwa masomo ya history,geography na civics
Mambo zenu wadau
Nlikua naomba msaada wa kuniguide namna ya kusoma, jee ni topic gani muhimu zaidi ktk masomo ya pcb???
Maana sina dira wala muelekeo + hizi shule zetu za serikali
Shule...
Wakuu naomba kufahamishwa sifa za kujiunga na vyuo vya Kilimo na Afya ngazi ya Cheti na Diploma ambavyo vipo chini ya NACTE. Nimepitia websites za NACTE na wizara husika sijaona - kuna orodha ya...
nimmejitahidi kutembelea websites za vyuo mbalimbali nikakutana na mabo yafuatayo:
Jordan University College
A Constituent College of St. Augustine University of Tanzania
(Formerly: Salvatorian...
Wadau hapa jamvini ni kiwanda cha kuelimishana na kupashana habari hakuna kinacho haribika,tafadhali hebu tueleweshane kuhusu mastarz ya special education ina ubora gani? vipi kuhusu soko...
Wakuu hbr zenu? Nina certificate ya rural development planning toka IRDP-lake zone. Nahisi kuwa nimechelewa kufanya application, tafadhali ninaomba ikiwa kuna uwezekano wa kuapply na kuanza masomo...
Ni matumaini yangu wazima wa afya tele.
Tumshukuru Bwana Mungu wetu kwa hilo.
Nina mdogowangu alimaliza form 4 mwaka 2010,
alipata div 3 ila hatukuweza kumpeleka popote kulingana na uchumi wa...
Kwa wale wenye majukumu na hawana muda wa kwenda vituoni naweza kufuata majumbani na kuwafundisha.Masoma ni History,Geography na Civics ninauzoefu wa kusahihisha necta kwa miaka minne nitakupa...