Kijana wangu ame reseat form IV 2011 kwenye private center kama private candidate, bahati mbaya amepoteZa namba yake ya mtihani hivyo tumeshindwa kupata matokeo yake, tufanyeje kupata hayo matokeo.
Kitaaluma mimi ni mhasibu, ninakipaji cha utunzi wa liwaya na uandishi wa vitabu. Ninauwezo mkubwa wa kuandika vitabu vya kumsaidia mtu kufikiri kwa mantiki na kumfanya ajitambue, ninaomba...
Mimi ni mwanafunz wa IFM BBF naingia mwaka wa 2 october ni member wa TIOB toka April mwaka huu kakin najishauri kufanya mitihan ya TIOB akat naendelea na masomo yangu hapa IFM, wana JF naomben...
Serikali imeamua kuongeza ufaulu kwa wanafunzi ktk shule za serikali kwa kuanzisha program ya big result now,nadhani ni idea nzuri lakini imekaa kimagumashi kwa sababu walimu watakao fanya kazi ya...
Ndugu zangu kwa anayejua ni lini wizara itatoa majina hayo kwani watu tunahamu kujua matokeo mapema ili kama tumepata tujiandaye au kama tumekosa tubadili mipango mapema kabla muda haujaenda...
Jamani wanajanv 2toane waswas juu ya hili maana wizara wametia mkazo kua ambaye ataripoti baada ya hizo tarehe hatapokelewa na mimi naona wengi wanategemea kuweka mambo sawa mwisho wa mwez huu na...
Kila nikipata muda huwa natazama hiki kipindi kinachorushwa katika EATV na host wake akiwa ni Allan Laki. Sina shaka na upeo wa huyu kijana maana maswali yake ya papo kwa hapo kwa wanafunzi...
Habarini za siku wanajamii fr?naomba msaada kwa yeyote ambaye anamwalimu yeyote anayemfahamu anayefundisha katika shule ya lindi secondary anipatie namba zake na kihororo sec school iliyoko bukoba...
Tafadhari wana jamii forum.com naomba msaada nataka kujua kama jina lang lipo katka wale wasiyo pata vyuo, jina nitumialo ni hilohilo la mwisho ni signature yangu iyo hapo chin yaan (asukile)...
Nimefanya aplication tena kwenye simu ikakubali na wakati jina langu HALIPO kwa wanaotakiwa kurudia 2nd round ila kwenye computer buton ya apication haipo active,,,nisaidieni wakuu hapo inakuaje?
Tanzania Commission for UniversitiesNotice to Applicants who have not been selected during the first round of application due to various reasons.
1. Overview
TCU informs all applicants (Form six...
Kwa upande wangu naona wanafunzi wote waliofanya application TCU waiachie muda wa kupanga vyuo na sio kukaa na kulalamikia TCU tangu jana jioni watu walikua wanalalamika profile zao zinaonesha...
kwa wale ndugu zangu ambao bado hamjaenda jkt msife moyo kwa maneno mnayoyasikia mtaani yanayowakatisha tamaa
jkt ni chombo kizuri sana mana utajifunza mambo mengi. Kinachotakiwa ni kufungua moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.