Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wana Jf naomba kujuzwa ni vitabu/kitabu gani vinafaa/kinafaa kwa somo la physics kwa mwanafunz wa kidato cha tano?.Naombeni msaada wenu wote.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Ni mchanganyiko boys and girls iko baharini kabisa walimu wengi sana, pcm, cbg, egm, Eca, Hge, Hkl, vurugu sasa hakuna ni shule iliyopoa sana, nilielezwa walimu kwa sasa wanapiga kazi si kama...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Elimu duni pamoja na mila potofu zinasababisha watoto wengi walio chini ya umri wa miaka 18 kukosa kupata haki yao ya kielimu. Mkurugenzi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Francis...
0 Reactions
0 Replies
709 Views
nataka kujua ili uchaguliwe kua mwalimu wa secondary wanataka kuanzia gpa ngapi uweze kupata post
0 Reactions
8 Replies
4K Views
habari wakuu! ndwika girls ni shule iliyopo wilayani masasi mkoani mtwara ni shule ya serikal bweni lakin namna inavyoendeshwa utadhan ni shule inayomilikiwa na mkuu na walim wke kwan wanajiamulia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wadau waliopita dakawa high school, enzi za Mr. Kijame na Igosha...kwa kweli ilikuwa half university na performance ilitisha. Mzee Ndiva, Seimu, Madam na wengineo tukumbushane wadau...viva dakawa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo nimeitwa na DVCAA nikapewa barua kuwa jumanne niende kwenye kikao cha Examination Comittee. Semister ya pili sikufanya mitihan kwan chuo chetu hakiruhusu mtu kufanya mitihani unless hadaiwi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi mtu aliyerisiti mtihani wa kidato cha nne na akafaulu kwa kupata division 3 anaweza kupangiwa shule ya A-level ya serikali?
0 Reactions
3 Replies
899 Views
- Mwenye good title - statement problem - abstract N.k
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Gates Cambridge scholarships are highly competitive, over 90 scholarships valued$13,000 each to be offered for any field of study (Cambridge university, uk) Deadline for application December this...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=OlvXrNRWDa0#t=13s batai munhu - YouTube Yaani hata mm sikuipenda ila mkachangie hata kuwakumbusha Walimu wetu hasira hasara, Wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa ipi nzuri kati ya bachelor of science in busines admin na bachelor of busines admin.na zina utofaut gan?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wasalam.rejea kichwa cha habari cha husika.kwa yeyote anayejua vyuo tajwa hapo juu hapa nchini kwetu tafadhali naomba link,hii ni kufuatia uhaba wa ajira na mitaji,elimu hii inaweza kuongeza soko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu habari zenu.! Chuo hiki cha Einkenford sijaelewa kuhusiana na kozi wanazotoa kuwa wanatoa diploma tu au na certificate? kwa upande...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
vipi jamani waliochaguliwa shule hiyo tujuane
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jaman naomben yoyote ambaye anaju web yoyote ambayo naweza pata basc instruction za minaki au kunipa hayo maelekezo kama vp nchek ktk davidjacob162@gmail.com au 0767967130
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1. Wana JF hivi ukichagua Bachelor in Civil Engineering DIT unaweza kupata Mkopo asilimia 100? 2. Katika Civil Engineering specialisation gani ni nzuri.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nitumie njia zipi ili nifaulu pcb vizuri(nisomaje,ratiba ya kujisomea ikaaje,nieleweje topics kiurahisi zaidi nk)
0 Reactions
14 Replies
24K Views
Kaka zangu na dada zangu mdogo wenu nimechaguliwa kwiro boys PCM lakin hadi leo hii bado sijafahamu joining instruction za kwiro zinapatikana wapi.hivyo naomben msaada wenu mnijuze kama kuna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Niangalia sifa za computer yangu nimekutana na vitu kama vinavyoonekana hapa chini. sasa, nimeshindwa kuelewa kuna tatizo gani kwenye pc yangu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom