Wapenzi wasomaji JF;
Mwaka huu nami nikaona niige enzi zile za ujana wangu, nikaamua kujikongoja na kifimbo changu hadi nikafanikiwa kufika uwanja wa Maonyesho ya sabasaba mwaka huu wa 2013. Eee...
Wakuu naomba munijuze kuna tetesi huku mtaani kwamba wizara ya elimu inachagua wanafunzi waliopata four za 26,27,28 wanachaguliwa moja kwa moja kujiungana uwalimu na upolisi kuanzia wiki ya kesho...
mimi ni mzazi naomba yeyote ambae mtoto wake kapangiwa galanos au mtoto aliepangwa huko naomba niwasiliane ili ikiwezekana wasafiri pamoja na mwanangu.tumia no0715 097143
Samahan wadau naomb kujua taarifa za kitaaluma na mazngra kwa ujumla kwa anaeijua secondar ya kisarika kwan nmechaguliwa huko CBG je yanafaa kwa hyo comb?
Everything has advantages and disadvantages.
But the following are the disadvantages of education.
https://sites.google.com/site/russmay/thedisadvantagesofbeingeducated
WanaJF walioko Arusha tujuzeni, kama kuna mtu mwenye taarifa sahihi kuhusu moto kuteketeza Bweni moja katika Shule ya Dalzon iliyoko eneo la Chekereni, Arumeru, Mkoani Arusha.
source: radio one...
Pipoooooooooz!!
Nna imani mu wazima,
tafadhali naomba msaada wa kupanga matokeo ya mtihan kuanzia mtu wa kwanza hadi wa mwisho,
mpaka sasa nimeshaandika randomly hayo majina 263 na alama zao...
Nafurahi kusikia kila siku chuo cha Mzumbe kinategewa sana katika idara mbali mbali za serikali na mashirika ya watu binafsi. Kuna tathimini ambazo sio rasmi zinaonesha 71% ya wafanyakazi hapa...
Jamani wana Jf kwa aliyekwisha fuatilia thead yangu ya hapo nyuma iliyokuwa imeandikwa kwa kichwa hiki "NAKARIBIA KUFUKUZWA CHUONI NISAIDIENI MWENZENU"
mtu wa Mungu wa humu humu Jf alinisaidia...
Samahani wanajamvi, mimi ni mwalimu, nimeomba kubadilisha kituo cha kazi (kuhama kwa kubadilishana). Sasa naomba msaada, nani ana details za TAMISEMI coz mpaka dakika hii hawajatoa vibali, na...
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu...