Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Asalam alehkum/bwana asifiwe/abari zenu.Ikiwa mtu amepata mwalimu wa kubadilishana naye vituo vya kazi naomba kujuzwa ni taratibu zipi afuate ili aweze kufanikiwa kuhama?je,ni sababu zipi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu wana jf; mimi ni muumini wa sayansi na teknolojia nikiamini kua hatuwezi kusonga mbele kimaendeleo katika nyanja zote bila kukua kwa technolojia imara hapa tanzania. Watu pekee wanoweza...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
ndugu wana jf; mimi ni muumini wa sayansi na teknolojia nikiamini kua hatuwezi kusonga mbele kimaendeleo katika nyanja zote bila kukua kwa technolojia imara hapa tanzania. Watu pekee wanoweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katibu wenu CWT kasema Bank ipo mbioni kufunguliwa,mtauziwa hisa,mtapewa mikopo ya bei nafuu,mtajengewa nyumba,yan mtapata raha hainahaja ya kudai ongezeko la mshahara anaongea kinouma hata haeleweki,
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaam ndugu wadau, naomba kuuliza wale wanaomba chuo kikuu huria(open univesity). Wanaomba Tcu au wanaenda katika tawi la chuo husika. Je waweza pata mkopo?. Nashukuru wadau
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu mi ni mfanyakazi niliyoajiriwa na Katibu Mkuu wizara ya maji net pay yangu ni sh. 387,800 kwa mwezi. Je, ni bank gani naweza kukopa kiasi cha zaidi sh. 5 million na riba nafuu? Nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kwa wale wanaosoma st kayumba hii inaweza kuwasaidia.Ili kufaulu unashauriwa kufanya yafuatayo 1. jenga utamaduni wa kujisomea WEWE MWENYEWE vitabu ambavyo vinaonekana ni vya maelezo mengi mfano...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Napenda kuwashirikisha ndugu zangu katika hili tuache siasa na tusimamie ukweli. Ninao ushahidi wa kutosha juu ya hili mwanafunzi wa dipl ya nersing hajui hajui hata kutoa first aid kwa mgojwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale ambao mmesha apply TCU naombeni mniambie deadline na je wanataka kuambatanisha result slip ya f6?
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Wakuu, Kuna rafiki yangu anataka kuinvest kwenye elimu ya juu. Yeye ana uwezo wa kuorganize manpower/personnel na technical requirements zote kama programmes, syllabi, modes of delivery...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
hi,naomba kufahamu kwaanae fahamu hili swala,nilifanya mtihani wa form four kam private candidate nikafanya masomo matatu nikafaul somo moja nililokua nikilihitaji ilikua mwaka 2008 je naweza...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wanajamvi,naomba anaejua vyuo vya binafsi vya ualimu ngazi ya cheti grade 3A,vilivyopo mkoani arusha,ila viwe na hostel anijulishe,asante
0 Reactions
2 Replies
17K Views
What are you thnking right now?,about education.
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Hv wana JF wizara imeshndwa kutangaza selection up to date ama ndo wana mpango wa kufuta tena matokeo?,ama ndo hakuna tena kwenda shule ?,mbona wamekuwa mabubu ghafla hatujui knachoendelea!,labda...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
ebanaa mi ndo nataka nikafanye research mwezi huu wa saba mnaweza mkanifungulia topic ya kwenda kufanya wadau.. mi nasoma accounting and finance....thanks
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bado najiuliza .km ubora wa elimu upo chini hivi?halafu kuna siasa na dini ktk matokeo,na uimara wa taasisi maalumu unategemea uadilifu na msimamo wa mtu,soon watahiniwa watatapata matokeo...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa mfano kwa kutumia matokeo ya mwaka jana(2012) jinsi yalivyo kuwa yametoka. Matokeo ya mwanzo kwa mfano mtu akawa amepata IV 33 akaamua bora arudie mtihani,matokeo ya pili yalivyo toka akawa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayejua kuhusu CHUO CHA N.I.T MAMBO YA TRANSPORT. . . . . .je ukimaliza hiyo degree unakua nani?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asante ndugu wanajamii wenzangu. kwa jina naitwa bless mgongolwa, Nipo kidato cha 6 PCM katika shule ya secondary BENJAMIN WILIUM MKAPA, Katika kujitolea kuendeleza elimu ya tanzania Nimebuni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…