Ndugu zangu
Naoma tunatumia muda mwingi sana kuzungumzia "kufeli" kwa wanafunzi bila kuangalia huyo "aliyefeli" anachangiaje kuinua uchumi wetu na "aliyefaulu" anauvurugaje.
Hebu tafakari...
walimu wanasubiria kwa hamkubwa mwezi wa saba wataongezewa Tsh.ngap kwenye mshahara wao>>>
Je serilali inalijua hilo au wewe mwananchi walifam hilo?
Ongea na mwalimu wa mtoto wako ili akubaliane...
habari zenu wakuu.
hivi hii inatokana na nini wakuu maana inanishangaza sana,mwanafunzi anafanya vizuri form IV alafu six anafeli,sijui ni sifa,mapenzi,ovakonfidensi au nn?
Hi JF,
Creating wealth is not something that is typically taught in schools and although many people dream of becoming wealthy, very few actually take the time to learn the secrets to success or...
Kuna kijana hapa chumbageni kanifata ananiuliza kama anaweza kusoma diploma ya clinical officer. Me mgeni kidogo kwan sijapitia mfumo huo. Matokeo yake mapya ni
PHYSICS-C
CHEMISTRY-D
BIOLOGY-B...
Habari zenu wadau mm ni mhitimuform 4 mwaka jana nikapata alama zifuatazo je nawezachaguliwa nkasome combi ya CBG
Biolog-C. Chem-D geog-C english-B histor-C. Physcs-D. Civics-D Kiswa-D. Math-F...
Eti kana mtu amefanya mtihani akapata IV 27,akaamua kurudia mtihani ili kutafuta crdt zilizo baki.Lakini baada ya kurudia mtihani akawa amefanya vibaya.
Je?anaweza kutumia cheti chake cha kwanza...
Tangu jana nimejeribu kuingia kwenye website ya bodi ya mikopo bila mafanikio,nadhani kuna technical problem kwenye server yao,nina log kwenye http://olas.heslb.go.tz/ lakini inatoa jibu kuwa 504...
Mm nimemaliza nta 6 na nimesoma accounting na nataka nichukue degree ya economics in project nd planning ya mzumbe kama first choice or statistics ya udom or statistics ya eastc or agribusines ya...
Eti anajitetea kwa matokeo kuwa mabaya kwa kusema" Mh.spika si shule na serikali pekee zilizofanya vibaya hata za watu binafsi zimefanya vibaya sana" kwahiyo huyu Mdharaulika anataka kutuambia...
Kama mdau mkubwa wa elimu, naona mambo haya yataboresha elimu yetu
1. Vyumba vya madarasa vya kutosha
2. Madawati ya kutosha (tuna misitu mingi sana)
3. Maabara oa vifaa vya kutosha
4. Vitabu...
THE GREATSECRETS OF DISABILITYDisability isnot a disease, it is just like human diversity, and it differentiates oneperson from the other. Furthermore, disability keeps an individual...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.