Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tovuti ni sawa na ubao wa matangazo Enzi zetu Mbao Za Sakafu, Za sementi ulioandikkwa matangazo kwa choki inashangaza sana siku hizi etu shule zinakosa tovuti au blog, modem zote hizi kw nini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kati ya CIVIL ENGINEERING & MECHANICAL ENGINEERING. nichague ipi wadauu.
0 Reactions
5 Replies
988 Views
Nimejirejsta TCU kwa namba ya mtihani wa pili yani namba ya kurisiti bada ya hapo sistim ilinikatalia nakujiunga na TCU na kuniambia kwamba sina credit na sijakwalifai hata baada ya kuad namba ya...
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Wadau! Eti sekondary kuna ada inafikia milioni 11 kwa mwaka...Nasikia iko Shinyanga sjui! Kuna hii sijui Feza boys sijui girls ada milioni 6 kwa mwaka Kuna chekechea nimesikia sijui iko wapi ada...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari wakuu...poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu changa...Wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2007 na nilipata daraja la pili la alama 21..kutokana ufukara nilishindwa kuendelea na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu hivi ukimaliza diploma unaweza pata mkopo ukichukua shahada
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hebu angalia hii Clip, kuna mafunzo mengi hapa I LIVE IN HELL: Satan's Senior Demon Exposed!!! - YouTube Thanks
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Wakuu naomba mnisaidie chuo chochote cha serikali cha kumpokea huyu mjomba wangu maake baada ya kufeli kidato cha sita amechanganyikiwa sasa anataka kusomea umedecine kwa kutumia cheti cha Form IV...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello members!,hope u doin good n here!,these are my necta form four results;hist C ,civ C,geo D,kisw C,eng C,lit C,phy C,bio C,chem C ,math F.now with this will I be taken to a government school...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa...
2 Reactions
144 Replies
12K Views
samahan wakuu naomba msaada,nataka kuchagua course ya bachelor of account and finance BAF, chuo kipi kinatoa BAF nzur.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu naombeni ushauri hii coz ya bachelor of science in microbiology soko lake limekaaje?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Selection za ualimu, afya na kilimo za toka lini wana jf nijuzeni
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Tangazo la kozi za Afya - 2013JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO 2013/14Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii...
1 Reactions
23 Replies
35K Views
Wakuu naombeni msaada wenu hapa......nimejaza fomu ya mkopo online sasa pale kwenye index ya shule kila nikiingiza ikawa inaniambia school not found....baada ya kuona inanigomea sana nikaamua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari zenu wana jf, samahani naomba msaada wenu ili niweze kuelewa haya mambo.mimi nataka ku-apply chuo na napenda kusomea moja kati ya achtecture au building economics.,ila sijui kipi kina soko...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Nilihitimu form six mwaka jana nikapata I.7(Phy-C,Chem-B,Adv/math-B).Kwa bahati mbaya niliugua ghafla hivyo nilishindwa kufanya application za vyuo tcu ukizingatia mi ni yatima na sina msaada hata...
0 Reactions
45 Replies
18K Views
Wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2007 na matokeo yalikuwa MATH;C ,CIVICS;B ,PHY'S;C ,BIOS;C ,CHEM;D ,GEOG;D ,ENG;D ,KISW;C..Nilishindwa kusoma kutokana na sababu za kiuchumi....mwaka huu...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Leo HESLB wametoa taarifa kwa Umma juu ya idadi ya waombaji wa mikopo kama ilivyoandikwa chini: 1.0 UTANGULIZIBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawafahamisha waombaji wa mikopo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom