Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ufahamu
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Tafadhali, naombeni msaada kwa anayejua procedures za kusomea ualimu grade A na jinsi ya ku apply chuoni.
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Ningeifuta chama cha walimu (c.w.t), mimi naona hiki chama hakitetei haki za walimu kama ilivyokuwa chartism au trade union nchini uingereza, kwanza hakina huruma dhidi ya walimu
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Anayeijua hii course kiunagaubaga anieleze ikoje, sifa, qualification, kazi yake, marketability yake, ugumu wake, mkopo wake. Najua kwamba inatolewa MU peke yake nielezeni koz nimetokea kuipenda...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Nimesoma EGM na nimepata 3.13 yaani economics D geog E a.math D. Sasa wakuu naombeni ushauri wenu nisome coz gan nzuri kulingana na matokeo hayo.Asante.
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Ni wazi watz tuna vichaa tena sana tuu, Tumewekeza sana ktk ujinga kwa miaka mingi tuu. Walimu wetu wote wamekuwa ni failures au wasio na taaluma ya ualimu au hata somo husika. Wala hawasomi...
2 Reactions
82 Replies
6K Views
kuna dogo kapata phy-s chemistry-c biology-D gs-f bam-f je udaktari atapata? na vyuo vipi vinamfaa
0 Reactions
2 Replies
929 Views
najaribu kumsaidia jamaa yangu mwenye diploma kuapply for degree,baada ya kumaliza registration kwenye CAS system,kuna kipengele cha kurequest nacte student ID ndo ikakwamia hapo,nimejaribu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina III ya 15 ya HKL (HistoryE KiswahiliE LanguageE General studiesS). Naombeni ushauri wenu. Asanteni!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katiba ya anJamhuri ya muungano ibara ya 1(3) Inasomeka hivi: Jamuhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaaa,isiyokuwa na dini,yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa: NB:Chama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawasalim wote ndugu zangu,nilikuwa nauliza na kuuliza jmn so ujinga nikwamba cjui ndomaana nawauliza ndugu zangu,kutokana na matokeo kutoka ndugu zangu nimepata div 4 ya 29 so ndugu zangu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
nna 3 ya 14 ya hgk HIST-E,GEO-E na KISW D kwa matokeo haya nkasomee kitu gani na chuo gani?naombeni ushauri wa kiungwana ili npate suruhisho!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jaman mi na Phy F Chem E Math E G/s F, je! Naweza kupata chuo? yan inawezekana nikaenda chuo kusotea degree? au ndo imekula kwangu? naomba msaada wenu wanajamii
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kuuliza je kama mtu ana F ya Gs kwenye matokeo ya f6 na masomo mengine ana princple 3 kwa mfano gs- F bam- s economics- d commerce- d acountant-d div 3 pts 12 je mtu huyu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mhitimu wa form6 na matokeo yangu ni Histry-S, Geog-E Economics-E na gs&bam F ila form4 nina C ya hesabu.je, nawekuchaguliwa acountancy? Thanks in advance...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana Jf hebu tuliangalie hili kwa undani zaidi,leo tarehe 14/05/2011 niliamuwa kujaza fomu ya body ya mikopo kwa ajili ya mke wangu ambae amepata nafasi ya kuja kusoma hapa china nimeamka saa...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
kwanza naomba radhi kwa wale wote ambao kwa namna moja au nyingine nitawakera. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2013, naishi kijijini, yaani hakuna umeme, maji na hata mitandao ya simu hakuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chem-E Bios-S Geo-D Bam-F Gs-S O level alipata Div two ila hakusoma Physics.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SERIKALI HAIJAFUTA MITITIHANI YA TAIFA YA MASOMO YA DINI | Print | TAARIFA KWA UMMA SERIKALI HAIJAFUTA MITITIHANI YA TAIFA YA MASOMO YA DINI Serikali inapenda kuwafahamisha wananchi...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Tupo kariakoo - dar, mtoto anasoma chekechea kwa sababu ya umbile lake kumbwa tungependa awahi kuelewa kusoma na kuandika mapema, naahidi kumlipa vizuri
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Back
Top Bottom