Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ndugu Wahitimu kidato cha Sita na kidato cha nne 2012 ambao matokeo yao wametoka kuanzia tarehe. 30.05.2013, Nimepata taarifa hivi punde tu toka Wizarani Makao Makuu Idara ya Elimu ya Ualimu kuwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Leo J2 tar. 2/06/2013.saa sita na nusu Mchana katika ukumbi wa Hindu Mandal ulioko Moshi mjini Opposite na stand kuu ya Mabasi kutakuwepo na Mahafali ya wahitimu wa CHADEMA STUDEMA STUDENTS...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
MATHIAS Inc. INATOA HUDUMA YA KUJAZA FORM ZA BODI YA MIKOPO KWA BEI POA KABISA. WAHI SASA UJAZE FORM YAKO MAPEMA NA UWEZE KUTUMA MAOMBI YAKO KWA WAKATI. TUPO OPEN UNIVERSITY - CHUMBAGENI KWA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wenye ufahamu juu ya hii field maana nataka kuomba kama first selection je inafuture yeyote kibongo bongo au ni mizinguo tu!
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Trusting God won’t make the mountain smaller but it will make climbing easier. Hope you will be able to climb all your mountains always. Good Luck.
1 Reactions
0 Replies
763 Views
Nina div 3 ya 15 . .HGE. .nina E flat. . .bam f gs f. . . .je naweza pata chuo?, mkopo? Na kwa course gani?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Waungwana mimi nimemaliza form six mwaka huu kama private candidate, ila nikiingia kwenye applications wanasema namba yangu a-level hawaijui. but ni namba halisi ya Mbezi Beach. wale bodi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba msaada wa hicho ktabu nimejaribu kudownload nimeshndwa kama kuna mwenye link anisaidie ili nikipakue.
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Hivi jmn process yote inaishia online au nitaprint hizo form nakuzituma? Bado sijaanza kuaply...naombeni mnieleweshe plz b4 sijaanza maana niko mbali na vyeti vyangu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
uchaguzi mkuu wa chuo kikuu ardhi umezidi kushika kasi kwa mgombea makini mweshimiwa SABINI (MGOMBEA URAIS) kuendeleza kampeni na kuonekana kukubalika sana katika school zote za chuoni. Na pia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nataka msaada wa mawazo toka kwenu wana jamvi, nina option mbili, either nisome Msc. Accounting and Finance au MBA-Finance, naomba tuzichambue ili niweze fanya good decision, kupata msaada kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
IKIWA matatizo ya walimu hayatashughulikiwa ipasavyo ikiwemo kupata walimu wenye viwango vinavyokubalika ninahakika matokeo ya miyihani yatakuwa yakifuta kila mwaka wala siyo kwa kidato cha nne...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nina 1 ya 10, PCM NA PCB ZOTE ZINA POINT-3,BT MA DREAMS NIWE ENGINEER BT NAONA KAMA ENGNEERNG NOW CO DIL,DIL UDOCTOR HV NI KWEL?
0 Reactions
29 Replies
6K Views
mimi kwa jina naitwa Yassin Said Athumani ni kijana ninaeishi morogoro ni mmoja kati ya wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne katika shule ya Jabal hiraa seminary school lakini matokeo...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
hbr, matokeo yng ya 4m 4 hayo, hst f, ksw c, eng d, civics c, geo d, math f, biology c, je naenza endelea na advnc na kufanya mtihan wa 4m 6 kama school candidate, na kama college niende koz gan...
0 Reactions
4 Replies
932 Views
Watanzania waliokuwa wanasubiri kwa hamu na gamu kutuma maombi ya kupata mkopo ili kuweza kusoma katika vyuo vya elimu ya juu muda umewadia. Maombi yataanza kupokelewa siku ya Jumatano tarehe...
4 Reactions
58 Replies
19K Views
Kwa nini napingana na system ya Tanzania ya NECTA, mtihani moja nchi nzima ku-determine future ya mwanafunzi ni ujinga, Mfano mzuri Mtu anayetaka kuingia vyuo vya nchi za nje anaruhusiwa kufanya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnijuze matokeo ya kuappel huwa yanachukua muda gani kutoka maana nishajaza barua bado kurudisha tu. Alafu huwa yanabadilikaga kwa kiasi gani.nataka kuappeal mtihani wa kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Div.3 point 16 Chem-D biology-E physics-F Bam-S GS-F
0 Reactions
5 Replies
2K Views
naomben msaada wa koz ya degree kwa E flat hge bam nna F
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom