Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na...
Nimesoma gazeti la RAIAMWEMA la leo jumatano habari iliyoandikwa "kuelekea matokeo kidato cha sita sifuri kibao zafutwa kimyakimya"
1.sababu za kuchelewa ni pamoja kuogopa kufutwa kwa matokeo...
Chuo cha Uhasibu Arusha kinawatangazia Wanafunzi wote wa kozi
za ngazi ya Cheti hadi Stashahada ya Uzamili kwamba chuo kitafunguliwa siku ya
Alhamisi tarehe 23 Mei, 2013...
Napenda kutoa tahadhari kubwa sana kwa wanafunzi wa UNIVERSITY OF DAR ES SALAM wanaoishi Mabibo Hostel na watu wengine wanaokaa maeneo hayo. kuna kijana ambaye anajifanya ni fundi Computer hasa...
Bora wizara ya elimu waziri wake atoke miongon mwa hawa form4 wanaosubiri matokeo yao,kuliko kuongozwa na vilaza mapacha(shukuru§mulugo)AU MNASEMAJE WAPENDA ELIMU?
Muenendo wa Elimu ya Tanzania unavyoendelea unatia shaka, kutokana hali halisi ya namna elimu nchini inavyozidi kushushwa na kupoteza maana kabisa. Elimu ya Tanzania kwa ngazi yeyote imepoteza...
Habari zenu wana jf? Hivi ni kweli kuwa ada ya chuo kikuu cha kampala nchini Tanzania imepungua hadi kufikia laki nne kwa semester? Je kwa mwanafunzi anayeanza degree ya ualimu anatakiwa alipe...
Wakati nikiwa katika shughuli zangu za kawaida nikaona ni vema tujadili mambo haya:
1. Shule za kata zilianzishwa kuimarisha elimu nchini lakin zimegeuka na kudidimiza elimu zaidi, kama serikali...
habari wana jamii forums,kuna rafk yangu alienda kusoma uganda kwa sababu yeye alikuwa hana requirement za credit tatu kwenda advance,kamaliza advance uganda kafaulu kwa kiwango cha daraja la...
Nina mdogo wangu kahitimu kidato cha 6 nchini uganda,baada ya kuequite matokeo yake baraza la mitihani equivalent kwa Advanced certificate ya Tanzania ana division two point 11,tatizo matokeo yake...
kwa wale ndugu zangu wa mj mambo ni vipi embu...tukumbushane story mbili tatu za pale mjengoni...!! Kwangu mimi nakumbukia life la trench..ful kuruka na mwisho wa siku tunatoa ma t.o..
Nimeshangaa kusikia kwamba tume ya kuchunguza kushuka ufaulu wa kidato cha nne hajamaliza kazi yake na itatoa mapendekezo zaidi ya 130 lakini wakati huohuo tayari Wizara ya Elimu imetangaza kwamba...
Wadau naomba kuuliza endapo nimefanya kazi kwa mkataba miezi mitatu,na baada ya hapo nikaendelea kufanya kazi sasa mwaka na nusu bila mkataba na malipo yangu napokelea bank kila mwezi?na...
sayari ya Pluto sio sayari tena
Sayari ya pluto ilikuwa ni sayari ya tisa katika mfumo wa jua (Solar System), lakini sasa si hivyo. Tuna sayari nane tu.
Kwanini?
Nilipokuwa shule tulijifunza...
Edward Lowassa, amesema matumizi ya fedha zilizorudishwa nchini, baada ya ununuzi wa rada, maarufu chenji ya rada, hayaeleweki vizuri.
Alisema hayo juzi katika mkutano uliojumuisha wadau wa...
Natarajia kufanya research kuhusu public administration naomba kama kuna mtu anazijua topic ambazo research inaweza kufanyika katika hii field anitajie, napata shida kuchagua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.