Dr. Aldin Mutembei alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili (TATAKI), University of Dar es Salaam, amevuliwa madaraka ya Ukurugenzi wa TATAKi kufuatiwa tuhuma za Ubadhirifu wa Pesa za...
Itende high School iliyopo Mbeya mjini, nje kidogo ya jiji, ina tangaza OFA kubwa ya ada ya shule KUTWA sh 250,000 kwa mwaka mzima:
Hii na kidato cha 5 & 6 tu.
Kidato cha 6 ni kwa nafasi za...
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
Kutokana na Chuo kufungwa, Baraza la Uongozi wa Chuo
katika kikao chake cha dharura cha tarehe 03 Mei 2013
kimeagiza wanafunzi wote kuanzia ngazi ya Cheti mpaka...
Mapendekezo kuhusu matokeo tata
Mwenyekiti wa tume ya waziri mkuu ya kuchunguza sababu za kushuka kwa ufaulu wa kidato cha nne mwaka 2012, amesema kuwa kuna mapendekezo mengi na baadhi...
Wana jf, hivi sasa katika chuo kikuu cha waislamu morogoro (mum) kuna kampeni zinaendelea za uchaguzi wa ccm katika ngazi mbalimbali za uongozi. lakini cha kushangaza ni kutozingatiwa kwa kanuni...
habari za kazi wakubwa.nilikuwa naomba mchango wenu jinsi gani utandawazi ulivyoleta mabadiliko kwenye sector ya elimu katika tanzania/impacts of globalization in education-case study of tanzania...
Kama umewahi kupita Kantalamba S.S SUMBAWANGA,RUKWA tafadhali tujikumbushe machache hapa,mimi binafsi nimepita 2000 - 2002 namkumbuka Kanyengele na slang zake ngumu pamoja na njanga,ulikuwa...
Matokeo ya kidato cha sita yako tayari.Vikao husika vya kupitisha na kuidhinisha kutolewa kwake vinaendelea NECTA.
Lakini,Serikali imeagiza kuangaliwa vyema kwa matokeo hayo ili kuzuia kutokea...
wanajamvi
kampuni ya simgas tanzania imeleta mitambo ambayo inakuwezesha kutengeneza gesi ya kupikia. kutokana na taka za majikoni yaani mabaki ya vyakula, machambulia ya mboga, mamènyea ya...
Soma na Upate Computer Bure..
Tunatanguliza shukran kwa wote waliojitokeza kupiga simu na kupata maelezo ya kina kuhusu Kozi hii ya Computer, Program Zifuatazo zitafundishwa
Professional Computer...
Kumekuwa na mvutano mkubwa kati ya wanataaluma na wanasiasa kuhusu suala la elimu hapa nchini.....
Wanataaluma wengi wanapinga uamuzi wa serikali kuyafuta matokeo ya...
Shule ya sekondari Elite inawatangazianafasi za kidato cha kwanza na cha tatu kuanzia Julai mwaka huu. Ada ya boarding ni Tsh1,150,000 kwa mwaka na day ni Tsh750,000 kwa mwaka.
Kwa mawasiliano...
Naomba niulize wadau wote, hivi ni kwa nini shule tulifundishwa namba za kirumi na sio za kifaransa, kichina, kihindi, nk na je, katika hicho kirumi kwa nini tulisoma namba tu? Vipi kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.