Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hii imetokea Morogoro manispaa, kuna mwalimu anafundisha shule A (sipendi kutaja jina la mwalimu au shule) kama mwajiriwa wa serikali, somo la jiografia, harafu anafundisha muda wa ziada (part...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndani ya wiki kama mbili zilizopita vyuo vingi vya elimu ya juu nchini vimekuwa vikifanya chaguzi mbalimbali ili kujipatia viongozi watakao waongoza kwa misingi ya sheria na utawala bora katika...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Dar es salaam Institute of Technology mwaka wa kwanza nachukua computer engineering. lakini kuna kitu kimoja kinanisumbua kwanini wasomi wetu hawajulikani/hawatoi mchango...
1 Reactions
3 Replies
976 Views
Hii imetokea Morogoro manispaa, kuna mwalimu anafundisha shule A (sipendi kutaja jina la mwalimu au shule) kama mwajiriwa wa serikali, somo la jiografia, harafu anafundisha muda wa ziada (part...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Ukweli ni kwamba nyoka mwenye vichwa viwili yupo, lakini ni wachache sana. Hawa nyoka ni kama mapacha walioungana au unaweza kusema kuwa ni nyoka mmoja mzima lakini ana vichwa viwili vilivyokaa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
yaani tume haijasema mwalimu atashawishikaje kukaa muda mwingi shule akiwatrain watoto
0 Reactions
2 Replies
865 Views
Wana JF salaam sana. Naomba mwenye anajua anisaidie-Dar es salaam Institute of Technology(DIT) ipo barabara gani. Ahsante
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Baada ya Uchunguzi nilioufanya kwenye miji mbali mbali hapa nchini yenye vyuo vikuu nimegundua kuwa wasichana walio wengi wa vyuo hivyo hujiuza ili waweze kupata namna ya kujikimu. Mwanza, Chuo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chuo kikuu cha Kampala tawi la Tanzania (KIU) kimefungiwa na TCU kutoa mafunzo yote ya shahada za juu (Postgraduate) ikiwa ni pamoja na Shahada za Uzamili (Masters) na Shahada za Uzamivu (PhD)...
0 Reactions
29 Replies
42K Views
Walitangaza kupitia vyombo vya habari toka tarehe 29/04/2013 kuwa ifikapo tarehe 01/05/2013 watakuwa wamefungua kupokea maombi mapya kwa mwaka 2013/2014.Kinachoshangaza mpaka sasa tovuti yao haina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Baada ya Uchunguzi nilioufanya kwenye miji mbali mbali hapa nchini yenye vyuo vikuu nimegundua kuwa wasichana walio wengi wa vyuo hivyo hujiuza ili waweze kupata namna ya kujikimu. Mwanza, Chuo...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Kwa wanafunzi wa chuo cha Uhasibu Arusha tembelea www.iaa.ac.tz kupata taarifa muhimu kutoka kwa uongozi wa chuo. Nawasilisha.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Watu hawatafikiria vibaya endapo utafeli, huenda watu wakakushangaa kwa kule kutojaribu mbinu za kufanikisha ndoto zako. Ukweli ni kwamba, watu hao watakuheshimu kwa kujaribu kwako. Kitu kikubwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya wanafunzi wa kidato cha nne kushindwa mitihani yao, sasa serikali ya CCM imeanza kuyachakachua matokeo ya mtihani ili kuficha aibu. Je, hii ndiyo njia ya kutatua matatzo ktk elimu? huu ni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara ya wanafunzi wanaosoma katika chuo hiki.Matatizo hayo ni pamoja na kutokusikilizwa kwa matatizo yanayowakumba chuoni hapo,kucheleweshwa kupewa mikopo yao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu bodi ya mikopo ilitangaza watu waanze kuapply mikopo tarehe 1/05/2013..nimekua nikisajili wanafunzi ili wapate mikopo huu mwaka wa tatu sasa...ila kuanzia tarehe 1/05/2013 najaribu kuingia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, kwa wale wenye vitabu hivyo(series) au ajuae vinapaitakana wapi atujuze tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Its true that there are people, according to their deeds to others, they were and they are not supposed to live. It seems as if they should not begotten at all.
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Habari wanandugu! Naomba msaada wa hatua za kufuata na vitu vya kuambatanisha kwa mtu ambaye alikosa mkopo mwaka jana wakati anaanza first year,na anahitaji kuomba tena sahivi. Akhsante
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…