Hivi inamaana hawa viongozi watz wametuona sie mabongolala sana.
Kwamba sababu za kufeli kwa wanafunz wa shule ya msingi na form 4 hazifahamiki coz tangu mwaka 2007 hadi 2012 chart inashuka tu...
Habar wana uwanja. M napenda sana somo la biology coz linanijuza jins mwili wangu unavyofanya kazi.
Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke?
Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}...
Ukurutu(mange) ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukizwa wenye dalili kuu zifuatazo: ngozi kuwa ngumu yenye magaga, ngozi kuwasha sana na kupotea kwa nywele/au manyoya unaosababishwa na wadudu wadogo...
Mi nashangaa tume kuundwa kuchunguza the reason why there are massive failures in the NECTA form four, i find it to be a means of using unreasonably the funds of poor tax payers. Haihitaji elimu...
Nina dv2 ya point 11(HGK) nataka kufanya application ya university mwaka huu ila nitabase sana kwenye faculties znazohusiana na Geography. Naomba mnisaidie hzo faculties pamoja na chuo kizur tz.
Personal Ethics
Personal ethics is your individual understanding of right and wrong. Everyone will look at the same situation with slightly different eyes depending on his or her personal...
Do It Right the First Time
You can avoid spending time and energy correcting mistakes, if you do a good job the first time. By now, you should know that it is easier to do a job right the...
Naibu waziri wa elimu Mh. Mlugo amesema serikali iko katika mkakati wa kuruhusu viboko mashuleni na kupiga marufuku simu kwa wanafunzi wawapo mashuleni (Startv saa 2 usiku). Je hilo litakuwa...
Kuna dogo langu kamaliza form four mwaka jana na matokeo yake ni
math-D
physics-D
chemistry-D
kiswahili-D
geography-D
history-D
biology-C
english-D
civics-D
na anapenda sana kwenda college kusomea...
BAGAMOYO UNIVERSITY IS OFFERING MASTERS DEGREE IN PEACE AND CONFLICT RESOLUTION.
INTAKE: MAY INTAKE- admission is on already
DURATION: ONE YEAR
QUALIFICATION: First degree in any field
This...
Nawaomba msaada wakuu kuhusu chuo kinachotoa kozi ya ushauri nasaha ile itolewayo kwa miezi sita ili my wife ambaye kamaliza diploma ya nursing aweze kuisoma. Naomba ikiwezekana chuo kiwe located...
Naam wakuu,
Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
Jamani heshima yenu wakubwa nimemaliza sx matokeo bado lkn nna imani ntafaulu lkn naombeni ushauri ipi kati ya mambo haya mawili utanishauri mimi kama mdogo wako nikasome veternary medicine au...
Wana jf naomben msaada wenu. Nna rafiki yangu 2memaliza nae f4 amepata div 4.28 naomben msaada wenu kama kuna vyuo mnavyo vijua na course zp znalipa hasa znazohuc masomo ya sayansi kama...
Wadau wa elimu mko katika mchakato mzima wa kuelimisha jamii.Naomba nijulishwe kama hizi tamthiliya ya NGOSWE, TAKADINI,ORODHA na nyinginezo zinapatikana kwenye DVD.
Akihojiwa mapema leo na wapo FM kasema ataongoza msako wa wanafunzi wanao miliki simu nakuperezi FB na JF kwani hawaruhusiwi kutumia simu.
Serikali imewaagiza wakuu wa shule za sekondari nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.