Kwa miaka michache iliyopita tatizo la ajira limeanza kushika kasi Tanzania na kwa miaka michache ijayo litakuwa tatizo sugu kama hatua za makusudi hazitochukuliwa. Tatizo hili kila mtu analiona...
hv jaman mnalichukuliaje swala la serikali kupandsha wastan kuwa gredi F ni 0-34, D ni 35-49, C ni 50-64, B ni 65-79 na A ni 80-100 maana 4 thix mata cjui kama 2tapta kwl yan kwa kdato cha nne
Nasema ni aibu kwa wasomi wetu wa kada mbalimbali hapa nchini ambao wanategemewa na jamii kubwa ya watanzania katika kuleta mabadiliko na kuchochea maendeleo katika jamii watokazo,ni kama wiki...
Za majukumu wadau! Naomba kwa mwenye kujua hawa watu wanaoitwa makatibu wa utumishi wa walimu hupatikanaje? kama wanateuliwa ni nani huwateua na taarifa zao za mwezi huwa wanazitoa kwa nani...
Hii ni maalum kwa Mwl wa OAF 112: Management Mathematics and Statistics. Kwanza yeye mwenyewe au pamoja na moderator wa maswali km yupo hawako makini na wanachotunga. Hali inayoleta wasiwasi km...
WAKUU
Nili'apply vyuo viwili tofauti. Cha kwanza kinaanza masomo mwezi huu wa 4 na kingine kitaanza mwezi wa kumi. Hiki cha kwanza kimeshatoa selection na nimechaguliwa Lakini hicho kingine bado...
Habari wakuu
Nahitaji ushauri wenu juu ya mwanafunzi aliyemaliza form 4 na kupata division 4 ya 32.
Na hizo D mbili alizonazo si ktk masomo ya sayansi yani hesabu, fizikia, kemia, baiolojia ama...
amefanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2009 na akarudia tena 2010 akapata vyeti viwili.swali je kuna uwezekano wa kufanya kiwe kimoja badala ya viwili vya sasa?
AGAIN, HELLO JAMII FORUM!
ITENDE SECONDARY SCHOOL INA TANGAZA NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA 5, MWAKA 2013;
MICHEPUO: HGL, HGK, HKL NA HGE
SHULE NI KUTWA NA BWENI/HOSTELI
SIFA NI WENYE CREDIT...
naulizia kama kunauwezekano mkubwa wa wanafunzi walo pata daraja la division 4 ya 26 na 27 kwa mwaka 2012 kwenda advanse??
Kama kuna dondo kuhusu hilo naomba ufafanuzi kupitia
(0767980086) kwa...
Hivi majuzi nimemsikia Naibu waziri wa elimu mh.Philipo Mulugo akisema kwamba serikali inanuia kurejesha adhabu ya vibo shuleni ili kurejesha nidhamu kwa wanafunzi na kuwafanya watulie kujisomea...
Habari za w'k end wapendwa?naomba mnisaidie kwa mtu anaye resit form six anaruhusiwa kurudia masomo mawili?na kama ndio je cheti chake kipya kitasomekaje.
Alizeti ni chanzo cha malisho ya mifugo
Alizeti haitoi mafuta pekee kwa afya ya binadamu, lakini pia inatoa chakula kwa wanyama na viumbe wengine mfano mifugo (ngombe, mbuzi, kondoo, kuku na...
mm ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu nilichukua PCB nasubiria majibu, ndoto zangu ni kuwa doctor lakin nimezungumza na baadhi ya watu wanadai udaktari mgumu Afadhal ufamasia, so...
"Umaskini na uharibifu wa mazingira ni watoto pacha na mama yao ni ujinga", (A.H Mwinyi, 2010). Nimelazimika kuanza na usemi huo wa Mzee Ruksa nikiikumbuka kila April 1, ambapo huwa ni siku ya...
Umaskini na uharibifu wa mazingira ni watoto pacha na mama yao ni ujinga, (A.H Mwinyi, 2010). Nimelazimika kuanza na usemi huo wa Mzee Ruksa nikiikumbuka kila April 1, ambapo huwa ni siku ya...
Taarifa kwa umma kutoka TCU juu ya chuo cha TIU(TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY ) kilichopa kimara mwisho Tunapenda kuwajulisha kuwa chuo hiki hakina ithibati ya Tume ya Vyuo Vikuu (TCU)...