Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za...
Ktk hali iliyotofauti na miaka mingine,mwaka huu bunge limeanza mwezi wa nne na kwa matarajio ya waalimu walio wengi ni kuona serikali ikiwajibu madai yao mfano kuongeza maslai na kuboresha...
Katika pitapita kwenye mtandao nimekuta tangazo la kutoka kwa vyeti. Jaribu nawe kutembelea Certificate and Transcripts for 2012 - Certificate and Transcripts for 2012 ili ujionee!
Wakuu napendelea kusoma IT sasa kunachuo kipo malaysia nimekifuatilia na wanatoa degree ya IT with specialism in information system security.sasa swali langu ni hili nikienda kuchukua hii kozi...
huko siju zilizopita yalijadiliwa haya
https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/414059-nafasi-za-kazi-tanzania-international-university-tiu.html...
Ndugu wana Jf naomba kujuzwa juu ya hili, unakuta kunamjumbe walati anachangia hoja katika tread mwisho anasema nitaku 'PM' mim binafs sielewi huwa wanamaanisha nin...tafadhali naomba kujulishwa
Naomba wadau mnisaidie kupata chuo kinachotoa kozi ya ushauri nasaha miezi sita na ada za hvyo vyuo kwenye hyo kozi. Napenda sana sana nipate vyuo vilivyopo tmk make nataka mama watoto asome hyo...
Wakati nasoma chuo wale watu waliokuwa wanasoma Education walikuwa hawataki hata kujulikana wanasoma nini maana kwao ilikuwa ni aibu kuonekana unasoma Education. Mtu yupo tayri kukuazima kitabu...
Wakuu na wazungumzaji wakuu wa kiswahili naombeni msaada wenu kujua kiswahili fasaha cha maneno haya kwa sababu nimepewa kazi ya kuandika report kwa kiswahili kutokana na aina ya research...
natanguliza heshima za dhati kwa wana jf! kama kawaida ya wana jf huwa panapo tokea jambo ambola sio zuri kupeana taarifa ili tuone jinsi ya kulitatua tatizo! ni wiki ya nne sasa tangu watu...
MVULANA mmoja mwanafunzi wa shule
ya Sekondari Chief Senge mkoani Singida
anashikiliwa jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma ya kumlawiti mtoto wa
kiume mwenye umri wa miaka minne.
Mvulana...
Habari za jioni wanajamvi,
Mimi ni kijana ambaye nahitaji sana kujiendeleza kielimu . Elimu yangu ni darasa la saba lakini kwaajili ya ujanja ujanja nimefanikiwa kupata kibarua na kampuni fulani...
ALAMA ZA UFAULU KIDATO CHA IV TOA MAONI
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inatarajia kubadili alama za ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha Nne ili kuwawezesha wanafunzi wengi zaidi...
Ndugu wanabodi
Nimeona nilete mada hii kwenye uwanja huu ili watu wajadili,ni nini chanzo cha kuporomoka kwa elimu Tanzania,wengi wametaka Waziri wa Elimu na naibu wake Philip Mlugo wajiuzulu...
Ndugu wana JF
Jina langu ni Elineema Jonathan Mosi
, Wapo baadhi ya watu wanadaiwa na bodi ya mikopo nchini hawataki kulipa huku bodi ikikabiliwa na changamoto nyingi sana za ongezeko la waombaji...
Namuunga mkono WAZIRI Mulugo kwenye hili. Wale wa Haki za Binadamu wanajifanya kama hawaishi Tanzania na kama wao walisoma Ulaya kwamba hawakuchapwa. Naomba tuwachape wawe na adabu mpaka tutakapo...