Hallow dear folks and technocrats.
Am looking for the Training Center or Institution in Dar es Salaam which is conducting review program or training on Certified Information Systems Security...
jaman naomba mawazo yenu. walimU wa math na sayans na kiingereza mbona tunapata tabu sana ilihali mkwanja mwisho wa mwezi sawa! nikigomea vipindi vinavyozid ntakuwa nimekosea! binafsi nina vipindi...
Poleni na ujenzi wa taifa ndungu zangu.mimi ni muhitimu form 4 mwaka jana, matokeo yangu nimepata division 4 ya point 30.Phys D,Bios D,Chemis D,Geog D, Kiswa D.kwa matoke haya naweza kupata chuo...
Habari! Naitwa Zakaria Gerald
nasoma kidato cha sita
morogoro ...Binafsi nimefurahia
sana hii idea aliyoianzisha
aliyekuwa miss mwaka 2004
dada Faraja kwa kuwasaidia
wanafunzi wa kitanzania...
Jaman husika na kichwa cha habari hapoa juu mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa nne UDSM(COET) kuna mwanafunzi mwenzetu wamemdisco chuo eti kisa cmu , alikutwa na simu kipindi cha ue na simu yenyewe...
Wakuu heshima kwenu kwa ujumla!
Naomba kuuliza kwa sisi tunaoingia mwaka wa pili kuhusu mikopo. Je, tunaomba mwezi huu wa 4 au mwezi wa 6?
Mwaka jana sikupata kabisa mkopo nataka kujaribu mwaka...
wangwana naomba kufahamu faida na hasara kati ya coz za mining na coz za business and economics na tofauti zake katika suala la kujiajiri au kuajiliwa kama una uzoefu kati ya hizi taaluma hapo...
Ndugu wanajukwaa hali maadili ya sasa katika vyuo vikuu vyetu vya uma na vile vya binafsi inazidi kuwa mbaya huku watoto wa kike wakitembea nusu uchi na kuranda randa katika kumbi za starehe,kwa...
Wednesday, April 10, 2013
Mtaala wa somo la historia haujafutwa Zanzibar!
NA MWINYI SADALLAH
10th April 2013
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema haiwezi kumfukuza Mkurugenzi wa Idara...
Jamiiforums!
Hii habari nimeiskia kutoka kwa mmoja wa Head master wa shule moja ya private (Jina kapuni) hapa mkoani Mbeya, Hivyo kutokana na upungufu wa wanafunzi wenye ufahulu wa 4M4 mwaka...
Imezoeleka kuwa UDSM ndio chuo bora kinachotoa wanafunz wenye kiwango cha juu cha taaluma,(mazoea sio sheria) na wanafunzi wa UDSM wote wanaamini hivyo kuwa wao ni bora kuliko vyuo vingne hasa...
Wakuu,
Wakati tukisubiri ripoti ya Tume ya Profesa Sifuni Mchome inayochunguza sababu ya wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2012 kufeli sana katika mitihani yao ya kumaliza kidato cha nne, naomba...
Dar es Salaam. Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimetaka Bunge na wazazi kuingilia kati uamuzi wa Serikali wa kukataa kukaa katika meza moja, kuzungumzia nyongeza zamishahara na posho.
Chama...
Mwalimu alicha kazi takribani miaka minne na alikatiwa mshahara punde tu alipoacha. Akaomba ajira moevt akapangiwa upya na akaripoti kituo kipya na kupata pesa ya kujikimu. Ikatokea kwenye suala...
Waungwana naomba nifahamisheni kwan nimesikia mengi kuhusu PUGU highschool, je ni moja ya special schools za tz? ..afu kwa PCB vp vigezo kuchukuliwa pale?
Nimeona niiweke hii kwa kuwa kulikuwa na maswali yaliulizwa hapa kuhusu nini hasa maana ya mtaala na madhumuni yake.
Na Profesa Hermes Mosha
Ukweli wa kuwepo, kutokuwepo mitalaa nchini - Makala...
Habari! Naitwa Zakaria Gerald
nasoma kidato cha sita
morogoro ...Binafsi nimefurahia
sana hii idea aliyoianzisha
aliyekuwa miss mwaka 2004
dada Faraja kwa kuwasaidia
wanafunzi wa kitanzania...