Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ipi ni sahihi? 1. Tanzania imepata uhuru 1961 2. Tanganyika imepata uhuru 1961
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Item Total Number of schools 864 Number of classrooms 3,930 Number of teachers 7,421 Pupils per school 385 Pupils per classroom 85 Pupils per teacher 45
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hapa nimefuatisha kwa maneno asilimia kubwa alichokizungumza hayati Mwalimu Nyerere katika hotuba aliyoitoa mwaka 1985 mjini Dodoma wakati akifunga Mkutano wa Chama Cha Elimu ya Watu Wazima...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Takariban 10,000 waliokata rufaa ya Matokeo Kidato cha IV 2012 wafeli zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwalimu alisema "Laiti Jana Ingekuwa Kesho, Basi Leo Ingekuwa Ijumaa" Je mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani?
0 Reactions
22 Replies
15K Views
Dear Money, I Hope you are doing fine. Lately you have been playing hard to get, always hurting me dear. I have been seeing you around in supermarkets, shopping malls...
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Jamani wana Jamii Forum naomba kujuzwa hiv kunachuo chochote hapa Tanzania unaweza soma Master Degree kwa Tsh.2,000,000/= Kama Ada? kwa kozi yoyote ile
0 Reactions
14 Replies
2K Views
kama kuna mwalimu wa sekondari unataka kuja dodoma mjini tafadhali niPM, uwe unatoka Morogoro manispaa/mjini, Kibaha au Dar es salaam.. Especially those newly recruited
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani nisaidieni natafuta vitabu vya mayar angelou hasa LETTER TO MY DOUTHER I STILL RISE na vingine
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi yanapotoka matokeo ya kidato cha pili ama cha nne, watu wengi wamekuwa wakilaumu wanafunzi kwamba hawasomi, wanaendekeza uhuni na wanashinda fb. Majuzi yametoka matokeo ya kidato cha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima zangu kwenu wana body wa Jf. Naombeni mnijuze kuhusiana na hii course ya Bachelor of Engineering in Marine Engineer Technology kuhusu upatikanaji wa ajira zake, pia kama ni marktable...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Wanajamii kuna maneno yanasikika huku uraiani eti wale waliopata div 4 za 26 na 27 na wana C mbili huenda serikali ikawapeleka advance sababu ya watu waliofaulu ni wachache.eti hili linaendana na...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
INASIKITISHA KUONA BAADHI YA WASOMI WANA SIFA HIZI 1.Jukwaa la elim wanabishana kuhusu din. 2.Wapo vyuo hawajal masomo wanabishana kuhus kip chuo bora. 3.Mtu akipost jambo akiwe yeye...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakati tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne mwaka 2012 ikiendelea na kazi, imebainika kuwa wanafunzi waliokata rufaa kutaka mitihani yao isahihishwe upya wamefeli zaidi baada ya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ukitaka kujiunga na vyuo vya wizara ya lazima ulipie shilingi 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama hautachaguliwa Naishangaa serikali yangu ya ccm ni kwa nini haina utaratibu unaofanana katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ili mtu aweze kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya afya serikali katika ngazi ya cheti na stashahada anatakiwa kulipia sh 15,000/= ambazo hazirudishwi hata kama akikosa.Wakati nchi inakabiliwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa e-mail za hao watu.....Kamishina wa Elimu ,pia katibu mkuu wa wizara ya Elimu . Natanguliza shukrani za dhati wakuu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
vijana waliohamia CCM Kukoka CDM Kuhangaika kuwachafua viongozi wa CDM wana nia ya Dhati kupigania maslahi ya watanzania kwa ujumla wao au ni mwendo wa kutumika kisiasa?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kujua masharit ya kusoma Certificate,na kama una D tu je unaweza kusoma? Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…