Ni wiki sasa imetimia tangu TCU watangaze kuanza kupokea maombi ya kujiunga na vyuo vikuu hapa nchini lakini mpaka sasa hawajapeleka form zao katika benki ya NBC pamoja na matawi yake ili waombaji...
Wamefungua web yao, inayoruhusu kila mtumiaji wa internet kuchangia.
link yao ni hii hapa
Maoni Yako
lakini naona ni kupoteza muda na pesa, kwani sababu zinajulikna, kila mtu anazijua.
Ninasikitishwa sana na wanafunzi wa leo katika taasisi za elimu ya juu kutokana na kuharibu taswira iliyokuwepo juu ya mwanafunzi kama balozi wa wananchi ambao hawana taasisi inayosimamia matatizo...
Ninaomba walimu wanisaidie kama kuna website ya CWT maana hiki chama kipo kimya sana,hakifanyi jitihada zozote kuweka mabo yake kisasa.Kimsingi pia nataka kufahamu katiba yao kipengele cha kujitoa...
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti. Naibu Waziri wa...
Kuna Tetesi Tanzania watumishi wa uma na Hata wewe unaesoma uzi Huu inawezekana uliiba cheti chako ukapata kazi,Hasa Waalimu Wengi na Mapolisi Kazi zenu si Halali ni Suala ambalo liko wazi.Je...
nashangazwa tena sana kwa mfumo wa elimu tanzania kuwatunuku wanafunzi wenye alama 32_33 vyetu na wanaandikiwa "PASSED".
unadhani kwa maisha ya sasa wataenda vyuo gani hapa tanzania kama si...
Diwani Wa CCM Dkt Juliana Bujugo ametajwa kuwa ana elimu ya darasa la nne , lakini alianza kwa Kughushi vyeti na kujiita Mwalimu Juliana Bujugo na sasa hivi anajiita Doctor Bujugo.
Miaka ya...
Mwaka huu baraza la Mitihani lilitoa utaratibu wa kuripia mitihani kwa njia tatu, ambazo ni Posta, M-Pesa an Selcom. Lakini imeonekana kuna tatizo la mfumo wa malipo. Mimi nilituma ada ya mtihani...
Kubeba mimba ni kawaida ila hapa chuo imekua kama fashion sasa,waalimu wanafunzi wanabeba mimba hapa chuo sio mchezo,nauliza hivii mkianza kazi watoto mtafundisha sa ngapi kama masomoni una toto...
Siku zote nimekua nikisikia kuwa waislam wanaonewa,wanahujumiwa, wananyimwa haki zao, wanadhulumiwa sasa kwa hapa tz sijui hata nijieleze vipi kwani mfumo wa maisha na imani zao ndo unaowapeleka...
Jumatatu machi 25, 2013, lazima tuionyeshe serikali ya chama cha mapinduzi kuwa imeshindwa kusimamia elimu yetu na sisi kama wananchi hatuko tayari kuona kizazi cha waliokosa elimu bora...
Maswali magumu kwa mulugo,
1.form six alipata ngapi?
2.ana taaluma gani na ya kiwango gani?
3.amesomea chuo gani hiyo taaluma yake?
4.alikuaje h/master akiwa na cheti cha form six tu...
niko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu kwa Bsc in INFORMATICS AND MATHEMATICS, ni semister ya kwanza sasa nimemaliza ila sijajua nikimaliza nitakuwa nani au nitafanya kazi gani!! msinishangae au...