habari zenu wana jf me nilikuwa naomba ushauri, nilimalza form six pcb mwaka jana na kupata div 3 ya point 14 malengo yangu yalikuwa kusomea udaktari ila kutokana na matokeo nilikosa chuo tcu...
Askofu mkuu Josephat Lebulu wa Jimbo kuu la Arusha, Tanzania katika mahojiano maalum na Radio Vatican wakati huu Kanisa Katoliki nchini Tanzania linapoadhimisha Miaka 150 tangu Wamissionari wa...
Tar 17/11/2012 tulifanya interview pale UDOM ya assistant internal auditor, kulikuwa na nafasi nane, lakin kwenye shortlist wametoa jina la mtu mmoja tu,Kama kulikuwa na nafasi moja wangetuambia...
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session.
Please Click here to enter our website for further details Rise Study...
Husika na mada tajwa hapo juu. Je results slip zishaanza kutolewa?utaratibu wa utoaji ni ule ule wa Sikh zote wa Kwenda wizarani na si kwa Shula husika? Nawasilisha
Kwa yeyote anayetafuta kazi sasa umepata suluhisho la tatizo lako. Nafasi ya kazi ni Branch manager wa NSSF. Sifa za mwombaji awe anajua kusoma na kuandika, vile vile mwombaji anatakiwa awe...
Hi JF Members
I am looking for any qualified Tanzanians who wish to pursue their graduate studies through research, inbox me for more detail. The requirement for this opportunity is that...
Wanajf naombeni mchango wenu wa mawazo. Mimi ni mtumishi wa serikali nimefanya kazi miaka 8 nimejiendeleza na kupata shahada ya maendeleo ya jamii. Nifanyeje ili niweze kubadili idara, asanteni...
Choo cha shule
Huduma za vyoo katika shule mbalimbali nchini inaonekana mbaya kiasi cha kutishia uhai wa wanafunzi na walimu wanaovitumia.
Wataalamu wa masuala ya elimu na saikolojia...
Choo cha shule
KWA UFUPI
Tafiti zabainisha shule nyingi nchini zina vyoo duni sana ukilinganisha na mataifa mengine Afrika Mashariki. Wasomi wasema vyoo visivyofaa huchangia maendeleo mabaya...
Habari wakuu?
Nahitaji orodha ya vyuo ngazi ya cheti hadi degree pamoja na gharama za hostel kuzunguka au karibu na maeneo yafuatayo; kati ya Kibaha, mbezi ya kimara, Kimara, Ubungo, mbezi beach...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012. Katika matokeo yangu nimebahatika kupata Div One ya point 11...PHY-A, CHEM-A, MATH-A, BIO-C, Additional MATH-B....ningpenda kujua kati ya A level na...
Salamu wana JF. Mimi ni mwalimu wa sekondari. Nipo Kahama mjini. Shule ipo katikati ya mji. Nahitaji mwalimu kutoka manispaa za Dodoma, Morogoro, Moshi, Tanga au Mtwara ili tubadilishane vituo...
Hi all
Tanzania Business School is now offering quality and high practical certificates. It offers certificate in Microsoft Offie, Certificate in Computer Support Technician, and many programs...
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
Mm n mhtm wa kdato cha nne mwaka jana na matokeo kiujumla kuna three moja ya peke yng shulen kwe2.Nmepata three ya 24 Phys:C Chem:C Eng:C Geo:C Math:d Bios:d Ksw:d Hstr:d Cvcs:f . . .Je...
Ndugu wanajamii, hivi kweli ni haki kwa wizara kwenye tangazo lake kuandika kuwa imeajiri walimu wote wenye sifa wakati huo sio ukweli jamani? katika kipindi hiki ambacho inchi inashuhudia anguko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.