Nimekuwa nikifuatilia matokeo ya rufaa zinazoombwa na watahiniwa wanapohisi kuonewa katika usahihishaji wa Mitihani mara baada ya Matokeo kutolewa na Baraza la Mitihani. Haya ni pamoja na matokeo...
Nilipotelewa na vyeti vya shule. Olevel na Alevel. Nimejaribu kuvitafuta nileenda TCU nikaangalia database ya wanafunzi walioenda vyuo vya elimu ya juu,nikidhani huyu aliyevichukua kaamua...
Nimehitimu kidato cha sita 2013,nni vigezo gani huhitajika kujiunga na civil aviation college airport DSM na course zipi hufundishwa pale,na kwa ada gani?Anayefahamu anisaidie.
Wadau nina kijana wangu hapa ameshindwa kuenda kufanya kazi sehemu aliyopangiwa na wizara ya elimu katika ajira mpya. Nimeona kuna majina ya walimu waliomba kubadilishiwa vituo na wakakubaliwa...
nafanya research yangu flani hivi.naomba madiwani,wabunge,mawaziri,Prensidaa,wakuu wa wilaya,maafisa elimu,wakurugenzi na mataita vitengo mbalimbali serikalini wenye watoto wao shule za kata...
Kama 75% ya waliohitimu mwaka jana walipata div 0, 20% div 4 na waliobaki wakagawana 1-3 (div 1 ilikuwa chini ya 0.5%)... Hizi ni data za shule za kata exclusively... Je kuna haja wa mwanafunzi...
ushauri wenu kaka zangu na dada zangu,mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza nasomea bsc in medical laboratory technology india,kabla ya kuingia hii faculty lengo langu langu lilikuwa kusoma...
Wakuu naomba mnijuze kati ya medical assistant na clinical assistant ipi bora interm katika maslahi ili niweze kusomea kati ya hizo mbili naombeni mnijuze wakuu?
Mipango inayoandaliwa na watu au taasisi yoyote ile kufanya maandamano ya kumng'oa Kawambwa na naibu wake Mulugo ni haramu na dhaifu. Sekta ya elimu ni pana sana na ufaulu wa mwanafunzi hautegemei...
Walimu wenzangu ili mnalionaje moevt imeacha baadhi ya walimu ambao wamesomea fani ya ualimu na kuajiri watu wenye taaluma nyingine kama walimu. Hususan mwaka huu walimu wengi wameachwa, na watu...
kutoka Mabibo Hostel:
inasikitisha sana na kuhuzunisha kuona watoto wa wakulima wanaotafuta shahada ya elimu ya juu (university) ndani ya chuo bora kabisa Tanzania na Africa kwa ujumla.Je...
Nataka kufanya changes katika masomo niliyosajili mtihan wa csee kwa kutumia mtandao lakin system haikubal naomba msaada,nimesajil masomo ma4 nataka nipunguze yabak 3!Ntafanyaje wajamen naomba...
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
pamoja na kuwa walimu katika serikali iliyoko madarakani tumebezwa mpaka na viongozi wa ngazi ya juu kua wanajua kua "we are underpayed" na kama tunaona kazi hii ni ngumu tuache kazi, still hata...
Wakuu, Habari za wakati huu.
Ninauza vitabu katika mfumo wa sauti (audio books). Vitabu katika mfumo wa sauti ni vitabu ambavyo unavisoma kwa kusikiliza kitabu kwa sauti katika radio, tv...
jaman msaada wenu kati ya hizi course mbili ni ipi kwa mtazamo wako itakua course kali na yenye maslahi ktk hii dunia ya DIGITAl
1.INFORMATION SYSTEM AND NETWORK ENGINEERING
2.ELECTRONICS...
Jaman mnisaidie maana Form 4 div I ya point 13 lakin form six nimefeli sasa kwa kutumia matokeo ya form 4 ntaenda chuo gani?
ALLAN E PYUZA Matokeo yangu ni civ-C,hist-C, kisw-B,Geo-C,Engl-A...
mi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 na namshukuru Mungu nimepata division 2 na mimi napenda sana CBG na EGM sasa nawaomba wana JF mnipe ufaham kidogo kuhusu comb izo mbil kwamb je wap...
Asilimia 80 ya watu wote wanaoajiriwa (global data) hupata kazi kutokana na networking na 20% waliobaki hupata kutokana na application...
90% ya watu wote wanaotafuta ajira hutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.