Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Habari zenu wana jf nadhani mko poa hoja yangu hapa ni kuhusiana na matokeo mabaya ya form four 2012 . Watanzania wengi wana ona au wanachukulia kuwa ni serikali lakini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo wanafanya uzinduzi wa ZINDUKA, wapo Tandahimba Sekondari. Wameunganika na baadhi ya shule zilizopo wilayani Tandahimba. Huu muda ni wa vipindi darasani, lakini vimevunjwa. Taarifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chuo chaTiba (TIHEST), Reg No: REG/HAS/117P Kina Tangazanafasi kwa mwaka wa masomo 2013/2014. · Tabibu (ClinicalOfficer) · Mtunza kumbukumbu za Afya (Health Record Technicians)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anayejua website/database yenye academic journals Asante!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika sekta ya elimu kuna tetesi kuwa walimu wengi hususan wanaume ni mabishoo dat means wakipiga pindi class mifano mingi siyo ya kuelimisha bali ni ya kuwapotosha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hatimaye walimu wote wa shule ya sekondari lvuna ilioko kata ya lvuna tarafa ya kamsamba wilaya mpya ya MOMBA wamegoma kuingia madarasani kuanzia leo tar 18.03.13 mpaka watakapo tekelezewa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi, evry body natumaini mko poa na michkato ya hapa na pale. Mimi nimehitimu four niko katka harakati za kutafuta chuo according to my pas credit nina c mbili kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu Katika pita pita zangu internet nimekutana na page ya chinese goverment sponsorship for internatinal students na nlikuwa nataka kuapply lakini katika process ya application...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KWETU TANZANIA: SABABU ZA UFAULU MCHACHE WA KIDATO CHA NNE 2012. Shule za sekondari kuhamishiwa TAMISEMI. Watendaji wa Tamisemi badala ya kusimamia taaluma mashuleni, wanasumbua na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HELLOW GUYS, naomba yeyote mwenye soft copies za aina yoyote ya study material au vitabu kwa level 4 (psptb), ambazo ni strategic proc, international proc, contract management na strat supply...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hii serikali ya ajabu sana,kila siku inakuja na mambo ya ajabu katika elimu!tujiulize hapo zamani ilikua 3,jee nani aliyeleta masomo 6?alikua na sababu zipi obvious itakua ni utawazi,sasa kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Computer Science, Statistics, Business Studies, Accounts (CSBA) 2. Computer Science, Economics, Business Studies, Accounts (CEBA) 3. History, Economics, Business Studies, Accounts (HEBA)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Jamani samahani naomba mnijuze kama kuna mtu humu ndani anaejua chuo au taasisi yoyote wanayotoa course ya SAGE PASTEL EVOLUTION kwa Dar es Salaam, hii ni ACCOUNTING PACKAGE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba kufahamu kituo kizuri kwa wanaorudia mitihani chenye hostel kati ya morogoro na dsm naomba tusaidiane maana kijana wangu kaharibu vibaya yaani hata ngazi ya cheti hapati.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Mwanzo ilikuwa mtu akisap somo akijasapua hata akipata "A" anawekewa "C*" Ila akicarry akipata "A" anawekewa hiyo hiyo aliyopata,lkn nimesikia sasa mtu akikeri hata akipata "A" anawekewa "C*". Je...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Na apply St.joseph college of engineering ila napata wakati mgumu kuchagua kati ya course hizi: Civil engineering, Electronic and Communication engineering, Computer science engineer. kwa level...
0 Reactions
2 Replies
746 Views
Wakubwa zangu shikamooni. Poleni kwa majukumu! Kuna kipindi niliwahi kusikia habari zisizo rasmi ya kwamba serikali ina mpango wa kufuta TSD (Teacher's Service Department), na kuleta Bodi ya...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Habari zenu wana JF'naombeni mniambie ni chuo gani bora hapa nchini kinachofaa kusomea coz ya tuagaidi kwa ngazi ya certificate
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom