Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Wakuu, Katiika tararibu za masomo ya DIT, unapochaguliwa na serikali kusoma hapo suala la chakula na malazi nayo yanatolewa ama kila mmoja wa hao wachaguliwa wanajitegemea? Tafadhali kwa anae...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiukwel japo nimekuwa nikisoma comments za wadau wa humu JF ambazo zimebase kuiponda na kuipaka matope UDOM lakin mm mdogo wenu ninaipenda sana UDOM na nina ndoto siku 1 nifike hapo kwa kusoma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Haya sasa wale waliomba nafasi katika vyuo vya kilimo ingia kwenye website ya wizara ya kilimo hapa www.kilimo.go.tz:flypig:
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Nilikuwa nina mpango wa kurirt,kwenda vyuo vya ufundi,jeshi na upolic kipi kinafaa kwenda pia nitashukuru mkiniambia vitu vingine vya kusomea.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Kama kichwa kinavyojieleza wakuu ambao mnazo naomben mnisaidie hizo note
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Katika hali ya kusikitisha sisi wanachuo wa chuo cha Butimba TTC Tumenyimwa hela kwa ajili ya kununulia vifaa kwenye Mafunzo kwa vitendo(BTP).Pesa tayari zilikuwa zimeshatolewa na wizara ya...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wadau naomba msaada wa kufahamu wapi nimpeleke mdogo wangu kwa hapa dar ili apate pindi la kufa mtu ktk masomo ya arts yote ili arudie vyema mtihan, pia kama unajua kituo kizur cha pepa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bado hali ni ngumu chuo cha ualimu korogwe baada ya wanachuo kugoma kuchukua pesa za kujikimu kwa mafunzo ya vitendo yaani Btp hali hiyo imekuja baada ya kauli ya mkuu wa chuo kupisha kutoa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Matokeo ya kidato cha nne yalitoka hivi majuzi 2013 shule ya sekondari PEACE inayomilikiwa na meya wa bukoba bw. Anatori amani ilishika nafasi ya pili kimkoa ambapo watahiniwa 213 walifaulu na...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani wanajamvi kama kuna mtu ana kitabu(soft copy)"extended mathematics for cambridge"naomba anisaidie kukipata,natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
741 Views
"those who receive this privelege have the duty to repay the sacrifice which others have made they are like the man who has been given all the food available in a starving village in order that he...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BARUA YA BINTI ALIYEMALIZA KIDATO CHA NNE KWENDA KWA WAZIRI MKUUJamani ya kweli haya? Pliz my name is...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Mwakani Wanafunzi wakifeli, wanaanza kuunda tume ili kuchunguza kwanini wanafunzi wanafeli, wakati walimu wanapewa mazingira magumu ya kazi kiasi hiki. Ajira zimetoka wapo waliomba kubadilishiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bodi ya mikopo ya vyuo vikuu sio siri mnasumbua,najua ndio nlikua nnapungufu bt nimeyalekebisha ila wapi bdo mnanibania 2,kama mnanipa bure vile!hyo hela ntailipa,kwa bahati nzuri leo ni mara ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajukwaa, Katika mambo yaliyoteka jamii ya wasomi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia katika siku za karibuni ni ubadhirifu mkubwa na uongozi mbaya. Malalamiko ya wafanyakazi na wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa nini tushindwe kama tutaamua na kama tutakuwa wamoja na kuweka fikra zetu katika ujenzi wa Taifa hili?, watu wetu ni lazima wawe wazalendo, ni lazima tulilete Taifa pamoja, ni lazima tuwe kama...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
MWALIMU NYERERE CHAIR IN PAN AFRICAN STUDIES-UDSM, IN COLLABORATION WITH MWALIMU NYERERE FOUNDATION Invite you to a book launch titled: THE POORER NATIONS: A POSSIBLE HISTORY OF THE GLOBAL...
0 Reactions
1 Replies
725 Views
Kuna mpango unao andaliwa kufuta baraza la mitihani la Tanzania(NECTA).Habari za uhakika kutoka wilaya ya mbozi(mbeya) zasema kuwa kikao cha wadau wa elimu kilifanyika 5/3/2013 kilihusisha...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom