Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

hv elimu yetu(CLASSICAL EDUCATION) inalenga kuwawezesha vijana wetu kutumia rasilimali za tanzania kujiletea maendeleo?hv kuna siku tutakuwa na vijana wenye utalam km wale wa korea,china ama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimebaini kuna idadi ya walimu wanaofanya kazi ya kuendesha pikipiki(boda boda) ili kuingiza kipato. Ayo nimeyabaini wiki iliyopita Musoma baada ya kukodi pikipiki na kubaini dreva wangu ni...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Kwa hali kama hii kwanini mtoto asifeli?
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Naomba Mhandisi yeyote mwenye setup ya AUTO CAD (COMPUTER AIDED DESIGN) anisaidie, hasa CIVIL ENGINEERS
0 Reactions
4 Replies
892 Views
Habari zenyu bana? Natafuta chuo xofar c elewi ni wapi naweza kwenda kusomea kozi ya video productions and graphics!NAOMBENI MSAADA JAMANi!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ugonjwa wa kuku ni ugonjwa wa kuambukiza unaoshambulia zaidi mfumo wa juu wa upumuaji kwa kuku na dbaadhi ya ndege wa porini mfano njiwa. Ugonjwa huu unasababishwa na bakteria wanaojulikana...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunajua kuwa matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2012 ni mabovu mno na serikali imeamua kuchukua uamuzi wanafunz wote walio fail warudie mtihan, Program hii itakuwa inaendelea kila mwaka au ndio...
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Mwalimu Bernadeta Minja wa kitivo cha Sayansi ya Jamii, Idara ya Uchumi na Biashara UDOM, amefariki dunia jana kwa ajali ya gari akiwa safarini yeye pamoja na mfanyakazi wake wa ndani wakielekea...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa tbc mchana huu matokeo kidato cha sita yametoka na ufaulu umeongezeka. Soma Pia matokeo mengine kuanzia 2009 Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2011 yametoka Matokeo...
1 Reactions
86 Replies
51K Views
jf habar mm ni mwanachuo wa mwaka wa kwanza hapa moshi bt nina matatizo na hali ya hewa iliyoniletea matatizo kiafya naomba ushaur ni jinsi gan naweza kuhamia vyuo vya UDSM,DUCE, chuo cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanajamvi naomba kwa anyefahamu ni chuo gani kilichopo tanzania kinachotoa taaluma ya food interms ya nutrition science or processing iwe diploma level au certficate.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mwalimu wa kufundisha somo la Kiswahili manispaa ya Bukoba mwenye Shahada au stashahada anaitajika haraka sana. Utapewa nyumba,chakula na usafiri wa kutoka kazini na kuja kazini na huduma ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naweza kupata msaada kijana wangu amechelewa kufanya interview kwenye hizo shule naweza pata msaada ili aweze kuingia kati ya hizo shule mbili au seminar yeyote au shule zuri ya wasichana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naombeni uhakika kama UDSM wameshaanza kuaply MASTERS kwa faculty of education..ni muhimu kwa anayejua anijulishe
0 Reactions
0 Replies
612 Views
SWALI:- Eleza hatua za kuandaa MDAHALO. Akiwa hajui maana ya mdahalo akajibu hivi- KWANZA; unachukua mdahalo wako unauosha vizuri. PILI; hakikisha mdahalo wako haujakomaa sana...
5 Reactions
36 Replies
5K Views
kuna ----- anashangaa humu jf mwalimu kufanya kazi ya bodaboda.kwani ni ajabu au kavunja sheria gani?WALIPU CHAKARIKENI ACHANENI NA MANENO YA KWENYE KANGA.Kwa mshahara wa kipuuzi unataka mwalimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnisaidie silabasi mpya Bible knowlege na/au Divinity.Ndashukuru kwa msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
2013/2014 ADMISSION AT TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY. Tanzania International University, a newly TCU registered university, located at Kimara Mwisho Dar es Salaam, is here by informing the...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Chuo kikuu kipya cha kimataifa Tanzania International University kimeanza kufanya usahili kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kutochaguliwa kujiunga na kidato cha tano. Chuo kinatoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…