Kuna uwezekano wa kutuchanganya kuhusu matokeo haya. Inafaa serikali iseme wazi kilichotokea tangu uasahihishaji hadi kutoa matokeo. Serikali ikifanya hivyo basi jumuiya itakuwa na mahali...
Kutokana na mfumo duni wa elimu na ubabaishaji wa mitaala kwa elimu ya tanzania ndio chanzo cha matokeo mabaya.
WATAHINIWA 2012 wengi wao wamepata div 0.je serikali ina mpango gani?? Zaid ya...
Nipo mkowa wa kielimu Shinyanga kwa sasa ila ni Simiyu kiutawala.
Kunawanafunzi walichanga tsh 50,000 kwa madai yao ili wafanyiwe mitihani ya form four mwaka 2012. Kilichotokea imepatikana...
Katika harakati za kitaifa za kuokoa elimu yetu ya Tanzania,niko tayari kufundisha BURE masomo ya ziada ya Sekondari kwa kidato cha nne. Mimi si Mwalimu kitaaluma....ni Mwanasheria. Lakini,niko...
Wanajf; Sitaki kuamini kama hii system ya kuweka wanafunzi barabarani ili msafara wa kiongozi flan apite.
Nakumbuka 2009,sikumbuki tarehe,nlikua form 6 pale Minaki chini ya Head master JJ...
Huyu jamaa ambition zake zilikuwa ni kuchukua pcb bt akadunda kwa bahat mbaya,phy-d,chem-c,bios-c,geo-d,kisw-f,maths-d,civ-d,hist-d,engli-d,div 4.26, je huyu m2 ataenda advance,na mnamshauri...
Ndugu zanguni ninatafuta mahali au institution zinazotoa course au training fupi za research sisizozidi mwaka mmoja na zinazofundisha statistical packages za aina mbalimbali (scientific & social...
MIMI NAITWA CLEMENT E.MAGANGA WA S.L.P 170 MASWA,NAFANYA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA ILIYOKO KATIKA MKOA WA SIMIYU.NIKO KATIKA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NINATAFUTA MTU WA...
Diwani wa CCM ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu aja na mpango kabambe utakaorahisishia wahitimu wa kidato cha nne waliofeli mtihani wa Taifa 2012 kujiunga vyuo...
Matokeo kidato cha nne feki
Mkurugenzi Green Acres afichua siri nzito
WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo...
Dear Sir/ Madam
We are looking for well established education consultants to recruit students for MBBS and Engineering in China. We are the sole representatives of Top ranked Government...
International school Moshi is accepting applications from outstanding Tanzanian students for two full scholarship in our Diploma Programme(forms 5&6).100% of all tuition fee,boarding and exams...
Mimi kama mdau wa Elimu na Mtanzania mwenye uchungu na nchi hii nimesikitishwa sana na matokeo ya mitihani ya Kidato cha nne(F4)mwaka 2012 yaliyotangazwa mwaka huu na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya...
Wana JF, nimesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari na magazeti kuwa serikali inaangalia uwezekano wa wanafunzi 60% waliofeli warudie mtihani na hata ikiwezekana walipiwe gharama za kurudia, je...
TUSITAFUTE MCHAWI KWA ANGUKO LA ELIMU TZ
Wanasiasa uchwara, wanaharakati, na makuadi wa magharibi kwa pamoja wamekuwa wakiendeleza body language za walimu wanaonewa, elimu mbovu,walimu wanahali...
Iko haja ya kutumia nguvu ya umma pale serikali inaposhindwa kutambua wajibu wake na kuwajibika ipasavyo.
Unapokula kiapo cha kulinda maslahi ya Taifa si tena swala la kutoa majibu mepesi kwa...
Nasema hivi kwa kuwa miaka yote ya nyuma ilituwezesha kujuana ktk uwezo wetu darasani na ilikuwa sio rahisi kumubeba mwanafunzi asiye jiweza darasani. Sasa kwa staili hii ya kuandika no pekee...
Serikali imefanya jitihada kubwa ya kuanzisha shule za sekondari za kata nchi nzima ili kuhakikisha kuwa watanzania wengi vijana wanapata fursa ya kusoma ili taifa liwe na wasomi wengi hatimaye...