Hapo mwanzo haukuwepo na mabadiliko ya mitaala za kila wakati kama hivisasa-kila Kiongozi anayeingia kuongoza huja na Ya Kwake,mpaka wanafunzi wanachanganyikiwa-Unashindwa kitabu Gani cha Hesabu...
Kuna habari kwamba idadi ya wanafunzi waliodahiliwa kujiunga na vyuo vikuu imepunguzwa kwa makusudi na serikali ya CCM kwenda vyuo binafsi ambavyo inasemekana vina idadi kubwa ya wahadhili...
Kwa taarifa nilizozipa hivi punde kutoka kwa kigogo mmoja anayefanyia kazi wizarani zinasema kwamba serikali haina fedha za kuajiri walimu, kwa hiyo inabidi walimu hao wawe na subira hadi mwezi wa...
Kumekuwa na hujuma za makusudi kati ya NECTA na serikali juu ya urudiaji wa mtiani Private candidate, watainiwa wengi sana wa PC wanapewa mtiani mgumu sana ukilinganisha na SC , hivyo sasa...
Kufuatia habari zilizoandikwa kwenye magazeti zikinukuu tuhuma za makosa ya NECTA katika mitihani ya wanafunzi wa shule hiyo. Baraza la mitihani limetoa jibu rasmi:
Pamoja na lawama kwa serikali, lawama kwa walimu na lawama kwa wazazi kidogo, lakini lawama kwa wanafunzi wenyewe wa kidato cha nne 2012 hazikwepeki. Hainingii akilini kwa mwanafunzi aliyesoma...
Kwako mh raisi kikwete
kwanza naomba kuanza na kidumu chama cha mapinduziiiiiiiiiiiii na minii umeitikia kwa kunyoosha mkono nisiouwona aila mungu ameuona
mh rais kuna sekta nyingi mmekuwa nazo...
Nasema form four wamefeli kwa haki. Ni uzembe wa wazazi/walezi. Mi nakumbuka kuna mwaka dogo mmoja kanipigia simu toka mikoani anasema eti naomba unipe link za kununua mtihani, na aliamini mimi...
Na Romana Mallya
23rd February 2013
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Philipo Mulugo
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Philipo Mulugo, amewataka...
Taarifa nilizopata hivi punde zinadai kuwa NECTA imeguswa vya kutosha na tuhuma zilizoripotiwa leo kuwa matokeo ya Kidato cha Nne yamechakachuliwa.
Tuhuma hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa...
Matokeo ya Kidato cha nne shule ya sekondari Irkisongo mwaka huu yanatisha kama yalivyo kwa shule nyingi za kata aka St. Kayumba. Mh. EL ni mwenyekiti wa bodi wa shule hiyo. Mara kwa mara vyombo...
Magazeti leo yanasomeka kua JK atengue matokeo hayo,je ni njia nzuri ya kuboresha elimu na unazani matokeo yakitenguliwa Form 4 watakua tayari kusoma wakafanye mitihani au ni kulazimishia ufaulu
kunasababu nyingi ambazo zmechangia kwa wanafunzi kufeli mtihani kidato cha nne mwaka 2012/2013 lakini mimi kama mwalimu ambae ni mtaalam katika fani hii navyojua kuwa kuna kitu kinaitwa mhamo wa...
JUMAMOSI, FEBRUARI 23, 2013 04:23 NA MWANDISHI WETU
*Dk Kawambwa apata wakati mgumu mbele ya JK
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza, amejitosa katika sakata la...
Baraza la Mitihani la Tanzania limekanusha kuwa matokeo ya kidato cha nne 2012 yamechakachuliwa. Wanaosema yamechakachuliwa wanatafuta cheap popularity!
Salaam kwa wana JF wote,
Naomba mwenye ufahamu juu ya hii mitihani ya NECTA na CAMRIDGE anijuze jamani
Kuna vijana wetu wako kwenye hizi shule za academic grade 7 sasa,wanategemea kufanya...
Nimemsikia Shukulu kawambwa anasema Wizara inafanya/itafanya tahtimin ili kujua kwa nini watoto wamefeli mtiani kwa kiasi hicho.Hivi huu mtu ni mzima wa akili? najiuliza Mtanzania yupi azijui...
nimemsikia waziri wa elimu kawambwa anadai kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha nne ni kwa sababu ameziba mianya ya wizi wa mitihani..hivi kawambwa ni mzima wewe kweli? Kwa hiyo unataka kusema sisi...
wanajamvi nadhan huo ndio utakua ushauri mzuri coz wanafunzi waliofeli kidaato cha pili pia ni wengi na hawa waliofeli f4 walipta bla mtihan, hvyo yote hayo imesababsha wizara ya elimu ni jukumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.