Nani alaumiwe matokeo ya kidato cha nne? Kama ni walimu wamelipa wanacholipwa,wanafunzi wamejibu walichofundishwa na walim wao na baraza wamesahihisha na kutoa matokeo kama yalivyotokea . hebu...
nimecikia lawama nyingi sana, hasa za kuituhumu serikali juu ya kufeli wanafunzi kidato cha NNe...ukweli ni kuwa mcitegemee miujiza kwny ufaulu wa watoto wenu, watoto hawa wanaoshindana kuvaa...
WanaFJ,
Nimetafuta matokeo ya shule mbili miongoni mwa shule maarufu nchini zinazopatikana mkoani Kagera lakini sijafanikiwa kuziona nazo ni: Ihungo S0109 na Kahororo S0115. Naomba mwenye taarifa...
Binafsi kama mwalimu mwenye taaluma ya ualimu, matokeo ya Mtihani wa kidato cha nne 2012 ambayo yametoka juzi yanakatisha tama kabisa kutokana na idadi ya walio feli kuwa kubwa kuliko kawaida...
ni habari za kuaminika kutoka chanzo cha karibu na kawambwa, chanzo hicho kimeendelea kudokeza kwamba, tangu atangaze matokeo ya kdt cha 4 siku chache zilizopita amekuwa akitumiwa ujumbe wa...
Kwa kipindi kirefu tumekuwa na mifumo ya elimu katika shule zetu isiyokuwa na tija, nasema isiyokuwa na tija kutokana na ukweli kuwa mwanafunzi amekuwa akirundikiwa rundo la masomo hata yale...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Wanajamvi
poleni kwa kuishi kwenye li-nchi linaloleta siasa hata kwenye elimu. Leo asubuhi saa moja hadi mbili niliona TV kwa mara ya kwanza inaweza kuwa na 'educative component'. Ni katika...
mtu akipata four ya 30 au hana credit 3 anaenda certificate anaweza soma degree kwenye vyuo vikubwa vya tz na masterz maana mwaka 2011 kuna watu tcu waliwanyima post za vyuo kisa hawana credit 3...
INFOBRIDGE CONSULTANTS LTD
In Collaboration with MUST COLLEGE
Are organizing an evening MONTHLY GIS DAY TECHNICAL SESSION
THEME Basic Satellite Image Processing
DATE: 01 March 2013, Friday
TIME...
mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata 2 ya point 21 nikiwa na c kwa kila somo isipokuwa hist na kisw .ndoto yangu hapo baadae ni kuja kuwa civil engineer na katika fomu...
Nilipata elimu yangu ya sekondari kanda ya ziwa ambapo katika shule kadhaa masomo yaliyohusisha vipaji yalikuwa yakifundishwa. Masomo hayo ni pamoja na
Fine arts (Sengerema, Nyegezi)
Cookery...
Mwaka jana baada ya matokeo ya 2011 ya kidato cha nne kutokamitandao ya kijamii na vyombo vya habari vilijawa na kejeli kwa binti wa mkuuwa kaya Mwanaasha, binti wa Magufuri na wengineo simply tu...
Naomba anayejua yanapopatikana "MATERIALS" ya masomo yafuatayo, hasa huku Tanzania (yaani Dar-es-salaam).
Mathematics
Biology
History
Geography
Civics
English
Kiswahili
Yaani past papers...
Hii wana jf,ni kijana wa kiume amemaliza form 4 mwaka jana na kapata division 2 ya pointi 20,anapenda kusoma PCB na ameifaulu vizuri kwa phy-c,chem-c na bio-b.SAsa anaomba ushauri jinsi ya...
NAIBU Waziri wa Elimu Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Kassimu Majaliwa, amesema kuanzia sasa kazi ya kuandikisha wanafunzi kuanza madarasa ya awali na yale ya msingi, itafanywa na watendaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.