40%ya watoto wetu wameoana,taka usitake habari ndo hii,hasa shule za kata madogo wengi wanatumika mapenzi bila ya wazazi kua na habari,na Wengi wana simu,na ni kua wazazi tunawapa na zingine...
hi, members
ndugu zangu wanachi wa Tanzania,naomba tujadili hili swala je,tuilaumu serikali ya jamhuri ya Tanzania,shule zenyewe ,walimu wa hizo shule au wanafunzi wenyewe kwani haijawahi tokea...
Yes,ikilast sana ni wiki moja after this kuna headline mpya.Timing ya kurelease ilikuwa nzuri mana wamjengoni wako busy majimboni!
Hivi inakuaje zile shule tulizozoea kufanya vizuri kila wakati...
Habar wakuu! Naomba msaada wenu wa mawazo kuhusu elimu ya nchin Uganda, Je ninaweza kwenda kusoma Advance Comb ya sayansi mfano CBG? Pia vipi baada ya kumaliza 4m6 itawezekana kuja kusomea vyuo...
Matokeo kidato cha nne kuwa mabaya hayakuanza kwa 2012 tu!!
Kusema kweli tumetoka mbali na safari yetu hii kwa hawa wadogo zetu na watoto wetu, kwa msaada mkubwa na mitaala yetu ya Nyambari...
jaman mdogo wng anakesha akilia kutokana na matokeo mabaya aliyopata.
Civ F,
GEO D
ENG D
BIO D
MATH F
HIST D
KISW F
PHYS F
BIO D
TUNAHTAJ AKASOME CHETI JE NI COURSE GANI ATAPATA KWA...
jamani kuna yeyote anayejua matokeo ya mtihani wa QT 2012 yanatoka lini? maana kuna mtoto ananisumbua sana. napata habari mkanganyiko, mara yameshatoka mara hayajatoka, anybody, somebody, help!
Sasa inabidi nianze kuwapongeza watumishi wa serikali wanaofanya madudu katika kazi zao kwa sababu wamekuwa SUGU, hawasiki wala kuona aibu wakilaumiwa au kulalamikiwa kwa utendaji wao mbovu. Leo...
wanajamvi katika kila mtu kutoa mawazo yake juu ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya nimekutana na twit ya first lady salmakikwete.matokeo ya form four yametokana na yanaashiria kuna sehemu...
Kama jina lako linatumiwa na mojawapo ya shule za sekondari zinazofanya vibaya, ungechukua hatua gani?.
Hivi wenye haya majina wanajisikiaje wanapoona matokeo haya?.
Jina la Shule...
Mimi ni mtumishi waidara flani.ni mwaka wa nne sasa kazini.
Nime amua kurisiti mtihani wa kidato cha 4 mwaka huu,nanimesha ripa karo ya mtihani,
baada ya matokeo kutoka nduguzangu wana nishauri...
Ni ukweli usiofichika kuwa siasa za nchi hii zinatupeleka pabaya hasa baada ya kuzizidisha hata kwenye mambo ya msingi na ya kitaaluma. Hivi serikali hii na sera zao za bora shule nyingi...
Ninafikia kipindi unapozungumzia elimu bora, ni vizuri ikaeleweka vizuri kuwa ni pamoja na mfumo bora unaotekelezeka, uwe halisi kulingana na watakao utumia. Ukiwa unamtengenezea mbwa chakula...
Mimi nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 ila sikufanya vizuri kwa kupata divition four ya 30 yani civ-D geo-D his-D eng- kisw-D math-F bio-F ila kutokana na hali ya kimaisha ya familia siku...