Nimekuwa na dhana tofauti juu ya uchafuzi wa mazingira, viongozi wetu wamekuwa wanatoa miongozo mbalimbali ya utunzaji wa mazingira na athari ambazo zinaweza kuletwa na uchafuzi wa mazingira...
Nataka kununua gari hapa Dar(showroom) na kulipeleka Kagera,Lakini ninavyofahamu gari kama hujabadilidha umiliki,haina bima na haijalipiwa motor vehcle licence haiwezi kuingia barabaran hadi uwe...
Habari za jumapili wana JF"hivi neno" PLAZA"lina maana gani na pia kiuhalisia linabidi kutumika katika majengo ya namna gani au jengo lolote linaweza kuandikwa hilo neno?
Kwa mujibu wa walimu wa shahada hapa chuo kikuu kwa ambao hawajapangiwa ni wale walosoma Bed,yani somo moja la kufundishia,na hawa walimu wanaexpirience ya kufundisha vyuo vya ualimu,je unafahamu...
Mdogo wangu kapangiwa kazi maeneo ya hapa wilaya ya Mwanga na anasema hataki kufanyia kazi hapa,anasema akipata mtu wa kubadilshana nae akaenda Tanga,Ye ni GradeA.Jameni tumemshauri hajafurahi...
Mikoa mipya kama Simiyu, Katavi, Geita, Njombe.
Nauliza itaonekana kutambulika lini sababu nimepita lakini sijaona mwalimu aliyepangwa katika hiyo mikoa tajwa kunani, au ndio yale ya kulipana...
Jamaa kasoma BA.PUBLIC ADM. Ya mzumbe, kalamba ualimu ajira mpya 2012-13, history and civics teacher, anasubiri kuripoti march, ama kweli ajira noma sa si ni bora angepiga education tu. Alifanya...
Mimi ni mwl. wa shahada natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi.nimepangiwa moshi wilaya ya siha natafuta mtu wa kubadilishana aliyepangiwa mikoa ya morogoro,iringa,dodoma na anataka kwenda...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
Na Mwinyi Sadallah
16th February 2013
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, ametaka mitaala ya vyuo vikuu isaidie wahitimu vyuoni...
NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE NIMEPANGIWA BUKOBA VIJIJINI. NATAKA KUFANYA KAZI MKOA WA PWANI, MOROGORO,MTWARA. Tuwasiliane kwa namba 0766216814
Habari zenu wapendwa, mimi ni miongoni mwa walimu wapya grade 3 nimepangwa Mwanza wilaya ya kwimba kwa yeyote aliyopo Dodoma wilaya yoyote na anapenda kufanyia mwanza kama yupo tayari tubadilishane,
Changa la macho Ajira za walimu; walimu wengi kila chuo wameachwa, UDOM takribani 1000, Mwenge takribani 300, Mount meru takribani wote,UDSM 200, SEKUCO takribani 400, SAUT takribani 600 bado...
Najua kwa namna moja au nyingine ntawakela ila ujumbe utakuwa umefika!!!
Wahitimu wengi wanaotoka Tumaini & CBE universities wanaendekeza njaa kwan wamekuwa wanakubali mishahara midogo hasa...
Jamani, mm ni mwl wa shahada (BSc Ed). Nimepangiwa Dodoma mjini, Bihawana secondary. Natafuta mtu wa kubadilishana ili mm niende Mbeya. Tuwasiliane kupitia 0764860999
Wale mnaosoma kozi ya Bachelor of Philosophy with Education na mnategemea ajira za serikal anzeni tu kujitafutia ajira mapema maana serikal itawanyima post kama wenzenu wa BED:(
katika kile kilichoonekana wanafunzi baadhi walikuwa wamekosa nafasi za ajira ya ualimu baada ya jana kutoka kwenye mtandao wa wizara ya elimu, Kisandu na Mh.Shekifu waliwasiliana kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.