Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

mimi nlifanya mtihani wa form six kama private candidate mwaka jana nikafanikiwa kupata division 3 ya point 13 tatizo nilifeli GS nikapata F sasa sielewi kama nikifanya application ya kwenda chuo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
haya kwa wenye sifa shule hiyo
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Kwa wale wanaopenda watoto wao kusomea mambo ya anga imeniwia kuomba radhi kwa wanaohusika na hiki chuo kwa matendo wanayoendelea kuwafanyia wanafunzi wao muhimu kilichonileta hapa ni wale wazazi...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa sasa, Tanzania ina vyuo vikuu vingi; tunamshukuru Mungu kwa hilo. Baadhi ya majukumu makubwa ya vyuo vikuu ni kutoa elimu kwa wanafunzi na kufanya tafiti mbalimbali kwa maendeleo ya taifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF Utawala wa Awamu ya Nne unakaribia kufikia ukingoni na kama ilivyo kawaida ya awamu zote matukio kadhaa makubwa ya Hujuma hufanyika ili kuficha/kufunika maovu yaliyofanywa ama na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MIHULA YA HIGH SCHOOL KUBADILIKA TZ. Wanafunzi ambao wapo Form VI sasa imekubalika kufanya mitihani February(next month) badala ya May 2013) well and good. Wanafunzi walio Form V sasa eti kuja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi guys, I have come accross to the website of Nice discussion whereby CPA guys can discuss as per their subjects in the Module. I think it is the useful one. It is called:- Exhale Tanzania-An...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo baadhi ya wanachuo wa vyuo mbalimbali hapa nchini wanaanza mitihani yao ya kumaliza semister, vyuo hivyo ni kama UDSM, UCLAS etc. Mimi kama mmoja wa wanachuo hao, napenda kuwatakia baraka na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARI! Wanajamvi naomba kuuliza, ajira za walimu wapya zinatoka rasmi lini. Mwenye taarifa tafadhali atujuze.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Wana jamvi kuna kitu ambacho watanzania tunashindwa kutofautisha ntaelezea tofauti hiyo ntaanza na CHUO KIKUU; kwa hapa tanzania tuna chuo kikuu kimoja tu nacho ni chuo kikuu cha dar es salaam...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wanajamvi,nataka kusoma masters OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA naomba anayejua cost zao na course zinazopatikana OUT
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello all; I hope you are all well. I am a student doing a PhD research on tourism in Tanzania funded by the World Bank. My goal is to find out what really affects the preferences of tourist...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndg wapenda salam: Kutokana na taarifa nyeti nilizonazo ni kuwa ajira za Waalimu katika ngazi zote, yaani kuanzia ngazi ya cheti, diploma mpk degree leo zitatangazwa mda wowote kuanzia sasa na...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Ajira za Ualimu ambazo zimekuwa ni nyimbo kila siku,Zinatoka Kesho usiku wa saa nne,amesema Mulugo katika mahojiano na Radio. {chanzo} Radio Uhuru.
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Baada ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: BK) ni namna ya kutaja miaka ambayo imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani. Kila mwaka huhesabiwa kuanzia ule unaodhaniwa kuwa mwaka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Malisa Godlisten Rais wa Serikali ya WanafunziSAUTSO Chuo kikuu cha St Augustine umetudharirisha mpaka tunaona aibu sasa na vuguvugu la Chadema, tena tuliingia kwa mbwembwe kali kuwa tutakuwa...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari za kuaminika kutoka wizara ya Elimu zimedai kuwa walimu hao watatangazwa leo na naibu waziri wa wizara hiyo Bwana Amin Mulugo! Tembea na uzi huu hadi jioni ww mwl uliyekuwa mtaani kwa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
jaman anaejua kama kuna degree ya clearing and forwading au degree ya shipping management na kama ndio je ni chuo gani?
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Mimi niliajiriwa mnamo 2008 Katika shule ya sekondari Matipwili km100 Kutoka Dar na ni Karibu na hifadhi ya saadani.Mnamo mwaka2011 mwezi wa5 nikaomba chuo,Mana kwa Pale Matipwili ilikua zamu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanafunzi walioongoza mtihani wa taifa wa darasa la saba wa mwaka 2012, Janeth Kijazi (kushoto) Justina Kalala (katikati)na Kellen Mudogo wakiwa shule ya sekondari ya wasichana, St Marian...
1 Reactions
64 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…