Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau nadhan kuna wa2 wameappeal hivi mwisho wa ku appeal ni lini
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naomba kujuzwa kama ninaweza kupata mkopo wa kugharamia masters kutoka BODI.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, kwa kawaida matokeo ya mitihani ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali (NBAA) hutoa matokeo kila alhamisi ya mwezi December.... Sasa mpaka naandika dakika hii matokeo bado...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni takribani vijimyaka kadhaa sasa vimeishaenda magharibi taangia nimeanza kufuatilia kwa ukaribu mno jinsi na namna ambavyo board ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini inavyotenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna jambo moja ambalo linazungumziwa sana na watanzania hasa vyombo vya habari. Swala lenyewe ni MFUMO WA ANALOJIA NA MFUMO WA DIGITALI. Kiukweli sijui lolote juu ya dhana hizo, naombeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari zenu wadau wa jukwaa hili la elimu....naomba msaada kwa yeyote anayejua ama kufahamu chuo ama taasisi inayotoa cheti cha uhakika cha CISCO Networking....
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Habari WanaJF wenzangu, Nina ombi moja kutoka kwenu hasa kwa mwenye ufahamu ili muweze kunisaidia..Mim natarajia kufanya CPA exams mwezi May 2013 module F,ila sasa sijajua ni Center gani...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
helow wana jf"hivi mtu anaeza kujiunga na degree mwakani ila alimaliza mwaka 2007 na atajilipia mwenyewe,naombeni msaada na ushauri wenu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
HAPA huwezi ukaona kwa macho, lakini ni vita kali ya walimu(elimu) na maendeleo kwani nani anabisha walimu hawawezi kulinda Elimu KAMA hawa hapa? nani hajui Dokta Ili afanye kazi hii...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Sharks are apparently the only animals that never get sick.
0 Reactions
151 Replies
13K Views
Eti inawezekana kwa mtu aliyesoma Diploma ya computer engineering nakupata GPA ya 4.2 na O-Level Chemistry A, Physics A, Biology B na Mathematics B kupata nafasi yakujiunga na bachelor ya Doctor...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ningependa mnisaidie kwa wanaofahamu. Inahusiana na nini hasa? Unaweza kuisoma wapi? Utafanya kazi zipi? Ajira yake ikoje? Mtu yeyote anaweza kuisoma au mpaka uwe na extra knowledge ya mambo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenye taarifa kuhusu ranking ya positions za primary schools kitaifa katika mtihani uliopita atujuze tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna tabia na hali ya kutaka utajili wa haraka hasa kwa wasomi na vijana waajiliwa coz mtu anaanza kazi leo anataka kesho awe na magari na nyumba za kifahari pasipo kusota na kufanya kazi kwa nini?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi naitwa Yusuph Peterson niko ktk chuo cha Tabibu Wasaidizi Kigoma CATC naomba msaada wa Kudhaminiwa kulipiwa ada Kwa muda wote wa masomo yaani miaka miwili nimelipa km robo tatu ya mwaka wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ivi sie watu wa diploma ya IT ..HESLB haituhusu au
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari saa mbili usiku ndipo nikajue kumbe mauaji ya Mara hivi karibuni yalisababiswa na imani za kishirikina. Kama tujuavyo hatuwezi kuendelea bila kuamini katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nijulishwe ni lin selikal itaajir walimu wapya
0 Reactions
4 Replies
5K Views
OUR VISION To be the Centre of Excellence in Quality Education Assessment and Certification. OUR MISSION To Provide Fair, Effecient and Effective Educational Assessment. OUR MOTTO is to serve...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Imefika wakati bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu ibadilike,kwa muda sasa sisi wanafunzi tuliochina tunasubiri mikopo yetu lakini hatujapewa taarifa yoyote ya kuaminika toka wahusika...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom