Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Imeandikwa tarehe 30 Novemba 2012 na Khatib Suleiman, Zanzibar | HabariLeo BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar, imeagizwa kuacha mara moja upendeleo wa kutoa mikopo kwa watoto wa vigogo kwani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu kuna tetesi kuwa zile post za ualimu tayari zipokwenye computer za wizara kuonesha jina la mtu na mkoa atakao kwenda je ni kweli?na zile tetesio kuwa mikoa ya ajira ni saba tu zinauhakika?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakati tunafanya registration kwa ajili ya kufanya mitiahani ya board hii tuliambiwa foundation level ni sawa sawa na diploma so once unapomaliza stage hii una kuwa na option either uendelee na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CHUO KIKUU cha Dodoma UDOM kinadaiwa kukumbwa na kashfa ya ngono kufuatia madai kwamba baadhi ya wananafunzi wa kike wanajihusisha na biashara ya kuuza miili yao kwa lengo la kujikimu kimaisha...
5 Reactions
97 Replies
35K Views
Kwa ufahamu wangu tafsiri ya neno Institute ni taasisi na pia tafsiri ya neno University ni chuo kikuu. Swali langu ni:Kwa nini Dar es Salaam Institute of Technolgy(DIT).Institute of Accountancy...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Educational Planners and policy makers are obliqued to focus on the relevance of education if they are to plan for sound education system in any country and Tanzania in particular. The followings...
0 Reactions
1 Replies
16K Views
Natarajia kuanza Masomo ya Awali ya Ubaharia(MANDATORY COURSE)By January 2013 niko nje ya Dar na nahtaj maelekezo ikiwemo Fomu Vp utaratibu
0 Reactions
4 Replies
5K Views
wadau hv mtaala wa hiki chuo ukoje ,na kinaendeshwaje naskia mara watu wana suppliment hadi maudhurio,mara ni kigumu mara hv mara vile tafadhali mwenye taarifa zaidi atujuze
0 Reactions
0 Replies
984 Views
kwa wale wa mwaka wa kwanza ninakuaje tunatafuta wenye au ndo hivyo tunapangiwa na chuowapi twende
0 Reactions
1 Replies
916 Views
WanaJF habarini. Kwa yule anaefahamu shule hii ya DIS naomba anipe info kama kweli ni International school, Performance yake, ada na ability ya graduates wa shule hii.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
HEBU NISAIDIENI KWANI HAWA WANAOJIITA TAHOSSA WAO SIO WAALIMU? Kwani wengi wao mashuleni hawafundishi, shuleni hufika wanapojisikia, naomba mnisaidie kama wao waliajiriwa kama walimu au kama...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Waziri wa elimu Zanzibar Mh Ali Juma Shamuhuna Wednesday, November 28, 2012 Na Hassan Hamad OMKR Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeitupia lawama Wizara ya Elimu ya Jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WHy sometimes Court can accept evidence of Single witness..???? Thankx
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kundi la wafunzi takribani 900 waliofukuzwa bagamoyo kurejeshwa januari. habari zinasema pamoja na kurejea kwao, kamishna wa elimu nchini alivunja mwiko, kupingana na DC na RC na kujiunga na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanachuo wa mwaka wa tatu wa chuo cha mtakatifu Joseph songea wamegoma kufanya mtihani kwa madai ya kukatywa hela zao walizozipata toka bodi ya mikopo ya elimu ya juu. wanafunzi hao wanadai kiasi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Using'ang'ane kwenda kusoma nje bila kujua kiwango cha ubora elimu katika nchi usika duniani.. EDUCATION TOP 20 Finland South Korea Hong Kong Japan Singapore UK Netherlands New Zealand...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Be trained in German leading industry AFRIKA KOMMT! Initiative der Deutschen Wirtschaft fr Fhrungsnachwuchs aus Subsahara-Afrika.. Changamkia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta shule ya private ya o level kwa ajili ya my niece nataka. shule ya bei rahisi as sina kipato kikubwa,iwe laki 6-8 kwa mwaka,kila shule ninayoulizia ni kuanzia milion na zaidi,shule za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba kama kuna mtu anafahamu ratiba ya kuanza Kidato cha 5 mwaka 2013 itakuwaje? Nauliza hivyo kwa sababu hivi karibuni Wizara ya Elimu ilitangaza mabadiliko ya mihula ya mitihani kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…