Habar wakuu!
Kwa habar niliyopata kutoka kwa mmoja wa wasahihishaji ni kwamba huko necta muda huu hasa huu mwezi wa 11 Wa usahihishaji mitihani kuna uzembe mkubwa sana, hasa wanafuzni wa PC ndio...
ver 800 students form Saint Augustine University of Tanzania (SAUT) will not be confered with their degrees this year after they failed to meet academic requirements to graduate.
The students...
Kwanza ningeomba mods waibakishe mada yangu kwenye hili jukwaa la siasa maana linaingia kwenye siasa pia.
Mwezi uliopita nilitoa maoni jinsi ya kufanya baraza dogo la mawaziri lisizidi mawaziri...
Tujikumbushe jamani tulipotoka enzi za masawe! na hata kwa wale wadogo zetu mnaweza kutuambia yaliyoendelea kujiri, na wakubwa wetu mtuambie waliyojiri pia.
Mnakumbuka enzi za kujificha kwenye...
Essential diagnostic services for public and private health facilities:
· A course for clinicians and laboratory staff.
TTCIH Ifakara, Tanzania 11-22 February 2013
Wana JF nimekutana na...
there was a number of student especially from last year who were told to apply again for loan this year bt am wondering if there is any1 who acqure loan this year...!!if there is any pliiz let us...
wana -jf. Sote tunajua elimu ndio ufunguo wa uelewa wa mambo mengi katika ulimwengu huu. Na alieyehitimu huitwa msomi au learned person. sasa wasomi wa kada ya uanasheria wao hujiita "my learned...
mwaka 2009/2010 nilipokuwa first year tulimkuta Mr Kiswaga (ccm) akiwa raisi wa DARUSO ingawa inasemekana alipitishwa na watawala kimizengwe. nilishtuka sana kuambiwa kuwa umma wa wanaudsm...
Nina mdogo wangu udom, cha kushangaza anapewa mkopo toka bodi lakin mpaka sasa anadai wamepewa baadhi! Huu ni unyanyasaji na usumbufu kwa wazazi, why udom si bure kuna tatizo
Kwenye taarifa ya star tv wamemuonesha mwalimu mmoja wa shule ya msingi ambaye anafanya kazi hiyo baada ya masaa ya kazi. Nimesahau jina na halmashauri yake. Imeniumiza sana kwa kweli, tena...
Tufanye nini kumaliza janga hili...Mkopo kwa elimu ya juu unakwisha kabla ya semista kufika katikati???
Mwenye mbinu bunifu?
Nini zaidi kifanyike kumaliza janga hili??
Wenye mkopo tu ndo wajibu...
Chanzo cha habari hii ni redio mlimani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa shule bagamoyo alimdangaya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa pwani.
Tatizo ni mgogoro wa kiimani baina ya wanafunzi wakiislam na...
Katika kile na kutoamini ulilolitoa kwenye vyombo vya habari, umeshindwa kutumia busara
Mgogoro katika sekondari ya Bagamoyo si kama ulivyoambiwa na kuchukua hatua kutangaza nilichosikia
kupitia...
Maajabu ya chumvi
(kutoka http://maajabuyamaji.net) Stori kuhusu chumvi:
Tunapata chumvi nyingi kwenye vyakula vyetu siku hizi. Chumvi nyingi itasababisha shinikizo la...
Leo hii raisi mstaafu,Benjamini Mkapa,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi ktk mahafali ya tatu ya chuo kikuu cha st. Johns hapa Dodoma maeneo ya Kikuyu.Maandaliza yanakwenda vizuri na sherehe inatarajiwa...
Wapendwa, nimeisoma hii naona nishare na wenzangu ambao bado wanasoma Chuo hiki. Yaani kwa PhD to have 42 graduates kwa wakati mmoja hata mimi nashangaa. Kumbuka kwamba chuo hiki hata hapa kwetu...