Wajameni kuna kitu cha ajabu kinachoendelea open university of tanzania, wakati graduation ni kesho, mpaka sasa hawajatoa majina ya postgraduate graduands kwenye website yao, kama walivyoahidi...
Nahitaji watu/mtu wa kufanya naye review/discussion kuanzia tarehe tano ya November . Kama upo tayari na upo Dar naomba uni-pm.
Natanguliza shukrani!!!
wakuu nahitaji mtu mwenye materia or any idea ambayo itaniwezesha kupata materia ya corse ya ECONOMIC DIPLOMACY KAMA MWENYE SOFT COPY ANIRUSHIE KUPITIA EMAIL subira2012@yahoo.com plea no joke
Binafsi naamini hata yule msomaji mzuri wa Riwaya tu ana uwezo
mkubwa wa kufikiri kuliko watu wasiosoma kabisa vitabu, Naombeni
ufafanuzi kwanini Watanzania wamekuwa si wapenzi wa kusoma vitabu...
Bibi mkazi wa Tunduma ambaye hajawahi soma hata darasa la kwanza,akiwa na wajukuu alisema waafrika wataendelea kupungua miaka ijayo kwa kukosa maada za sayansi ya ugunduzi kwenye mifumo ya elimu...
Kochi University of Technology
Outline of Graduate School
Master's Program
Doctoral Program
Admission
Special Scholarship Program
SSP Research Project List
List for SSP...
In addition to the foundation's program of support for postdoctoral research, ten or more dissertation fellowships are awarded each year to graduate students who would complete the writing of a...
The master programmes, lasting one or two academic years, focus on specific problems of developing countries. These are designed to enable graduates to share and apply acquired knowledge in the...
nimechaguliwa UDOM mwaka huu nimepewa na mkopo ila coz sijaipenda nimeshafanya na usaili nimelipa na baadh ya fees niliyohitaji kuchangia ila nataka niachane na chuo je mwakani application...
habari wanajamii Forums ,
Tafadhari nahitaji kufahamu faida za kufanya mitihani ya TOEFL, wapi hapa Dar naweza pata Tuition zake , vipi gharama zake ,na gharama ku giregister kufanya mitihani hiyo...
Katika hali inayochochea msongo wa mawazo, walimu tisa wamejikuta wakiishi katika vyumba vitatu vya nyumba moja kutokana na uhaba wa nyumba.
Kufuatia hali hiyo, Baraza la Madiwani la Sengerema...
Mhadhili msaidizi wa chuo kikuu cha Dodoma Mr DEOGRATIUS CAMERIOUS DUZU Amefariki jana tarehe 23/10/2012.
Chanzo cha kifo chake hakijafahamika, ila taarifa za awali zinaonyesha marehemu...