Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni kipindi kinachoendelea asubuhi hii. sijui kama hawa wachambuzi ni timamu kweli!
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Taarifa nilizozipata masaa machache ni kwamba, Matokeo ya waloomba wizara ya afya yanabandikwa katika kanda uliyo ombea. Kuna mshkaji wa Kigoma amesema tayari Katika mkoa wa Kigoma matokeo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF.Ningependa kuuliza kama kuna yeyote anaye fahamu taasisi ama NGO's ambayo inayohusika na kutoa msaada wa kusomeshwa kwa wanafunzi wa vyuo ambao hawana uwezo
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Nachukua nafasi hii kwanza kuwapongeza kwa kuchaguliwa, kufika, kusajiliwa na hatimaye kuanza masomo katika vyuo vikuu mbalimbali Tanzania. Ni(tu)naomba mtupe mrejesho wa visa, mikasa, usumbufu...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Nimeajiriwa kanisani fresh from school kitengo cha uhasibu nimekuta receipts & payments invoices tu.Hawajawahi kuandaa any final reports wana miradi mbali mbali ikiwemo majengo,magari,mashamba na...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
TanzaniaApplications for the 2013 Short Course Award program are now open. Application forms and all supporting documents should be completed and submitted by 30 November 2012. Applicants...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa mahali ambapo nitapata hostel za kupanga Mjini Dodoma za bei nafuu.Yeyote mwenye kujua tafadhali ani PM au anibeep 0762838996.Naomba ushirikiano wenu wadau wa JF.
0 Reactions
1 Replies
769 Views
wana jamvi habari Naombeni mnitupie main body ya barua ya kuomba kuprospond mwaka Asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hop mko poa wana JF,naomba kujua mbona nimejaza form za kuapeal but kuprint zinagoma,KAMA KUNA ALIYEFANIKIWA NAOMBA ANISAIDIE,
0 Reactions
0 Replies
921 Views
kale ka mtindo kakutupia thread ndefu hadi wana JF tunaboreka...sio mpango,jaribu kufupisha kidogo ili mtu aisome hadi mwisho,tunasoma info nyingi hapa jf sio ya kwako tu ndugu..??
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani mm leo napasuka wazi mana nimevumilia sana,ukienda ofisi za tcu hasa chumba no.9 na 13 kuna wahudumu no.9 wa kiume no.13 wa kike,jamani wanajskia na huduma zao ni mbaya tena hawafai kuwepo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Quota Scheme Scholarship for Bachelor’s, Master’s and PhD degree students from Developing Countries at Universities in Norway 2013 Read more: Quota Scholarships for Developing Countries in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtoto wa kiume mwenye miaka 12 (jina limehifadhiwa) mwenye ulemavu wa kutokusikia na kuongea yaani Hearing Impairment na Speech Impairment ameshindwa kuendelea na shule kwa kukosa shule yenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
hv wizara n kwamb hawajui watu wako njia panda au wanafurah kuweka watu vroho juu,c watoe matokeo bhana
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Nauliza kama mtu amesoma degree yake ya kwanza kwa kingereza na kufaulu kuna umuhimu gani wa kuambatanisha cheti cha English language proficiency pindi unapokuwa unaomba scholarship nchi za nje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauliza kama mtu amesoma degree yake ya kwanza kwa kingereza na kufaulu kuna umuhimu gani wa kuambatanisha cheti cha English language proficiency?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tunaomba utawala utusaidie tujue majina ya admission kwa wale wa late applicants yanatoka lin? mbona mnatuchanganya hiv?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania Applications for the 2014 Masters Awards are now open. Application forms and all supporting documents should be completed and submitted by 14 December 2012...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
UNIL Master's grants To facilitate access to Master’s degrees by students with qualifications from foreign universities, the University of Lausanne makes available around ten Master’s...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
What do IRO scholarships include? The scholarships are only granted for doctoral or pre-doctoral programmes. Scholarships for a pre-doctoral programme are awarded for only one year. The...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…