Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nimesikitika kwa kusikia kutoka kwa watoto waliocheza halaiki katika sherehe za kuzima Mwenge wa Uhuru huko Shinyanga ya kwamba walianza maandalizi tangu mwezi Julai. Tangu mwezi Julai mpaka mwezi...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Floor za kukaa hostel ni ground floor na first floor uku coed, inamanisha ppl wamepungua sana au?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
tunasikitka hapa udsm, 1st yr(boy) mwenzetu kakutwa kajinyonga uck wa kuamkia leo lodge 1 hapa ubungo,inavyosemekana alikuwa anapata raha duniani,cjui ikawaje,tafakari rana
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa mahali ambapo nitapata hostel za kupanga Mjini Dodoma za bei nafuu.Yeyote mwenye kujua tafadhali ani PM au anibeep 0762838996.Naomba ushirikiano wenu wadau wa JF.
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Naomba kufahamishwa mahali ambapo nitapata hostel za kupanga Mjini Dodoma za bei nafuu.Yeyote mwenye kujua tafadhali ani PM au anibeep 0762838996.Naomba ushirikiano wenu wadau wa JF.
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Ukisoma udom huwezi kuajiriwa?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Funded masters-Oxford University Commonwealth Shared Scholarship Scheme - University of Oxford BELOW IS THE ATTACHMENT
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Three-Year Postdoctoral Prize Research Fellowships in Social Sciences Nuffield College intends to appoint, with effect from 1 September 2013, a number of Postdoctoral Prize...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Pictured Above: 2011-2012 LAWA Fellows with Justice Dikgang Moseneke, Deputy Chief Justice of the Republic of South Africa. The Leadership and Advocacy for Women in Africa (LAWA) Fellowship...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Wanafunzi wanaopenda kusoma india,china,ukraine na malaysia.tunakusaidia kupata chuo,kupata visa na ushauri hadi pale unapo fika chuoni. Kuanzia diploma,degree na kuendelea.ni pm au tuma email...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Heshima kwenu Great Thinkers! Nina kijana wangu yuko Songea Secondary school anahitaji mwalimu wa kumfundisha lugha ya Kifaransa, tafadhali kuna mwalimu wa lugha hiyo huko Songea basi naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza kabla ya yote ningependa kuwasalimu wana JF.Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha uhasibu(Tanzania institute of accountancy) campus ya Singida ni kichuka kozi ya certificate in accounting semester...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nashindwa kuelewa kwa nini walimu wanaofundisha shule za msingi na kidato cha nne wanachukuliwa wale waliopata alama za chini? 1.Grade A:Mwalimu aliepata divisio iv ya pts 28 anachaguliwa...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
wajamani mimi ndi mtanzania ambaye nauchungu na money ambazo baba yangu analipa kodi. kuna habari za kuamininika kwamba ununuzi wa computer ndani ya chuo mzumbe umegubikwa na mabishano ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Poll Poll
emmy mwamgiga ni vice president katika serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam(daruso).kitu ambacho kinanifanya niwe na wasiwasi juu ya uwepo wake hapo ni kutokana na kutumia pesa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni toka aliporipoti tarehe 8 kijana amekuwa akilalamika sana kuhusu vyoo anadai atapata maradhi anaomb ushaur afanye nin na hiv kwa kipind hiki hakuna maji kabisa je hvyo vyo vya kukaa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani jumatatu ya tarehe 15 ndo hii hapa! Kweli wizara ya afya itatoa matokeo kama walivyosema? Tupia hapa kama una details zozote hapa!
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari zenu wadau?mm ni mwanaharakati mpya na nilisoma elimu yangu ya chuo miaka mitatu ya kozi ya it na badae post ya business administration ambayo ni jeneral!!sasa swali langu ni hivi kati ya...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
msaada tafadhali! Km kuna yeyote anaweza kudownload list ya majina ya wanaograduate mwaka huu 2012 naskia yako online. -au anisaidie link
1 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna habari nimezipata lakn cna uhakika nazo kuwa matokeo ya clinical officer yametoka na wamebandika majina ya waliochaguliwa hapo wizara ya afya mie nko nje ya Dar. Km kuna m2 ana uhakika hz...
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…