KWA NINI TUTAPELIWE NA WATU WA MUNGU ?/ WHY SHOULD WE BE FOOLED BY CHURCH LEADERS?
-What is / Nini maana ya COMPULINK AFRICA? , COMPULINK KENYA? , COMPULINK UGANDA? , COMPULINK TANZANIA?
Hello...
Najiuliza hivi ni kwanini TZ tumeng'ang'ania kuingiza Mlima Kilimanjaro kwenye maajabu 7 ya dunia wakati tuna maajabu mengi tu zaidi ya huo mlima? Mfano mdogo unajua kuwa TZ ni nchi ya kwanza...
Salam wadau
nilitaka kuuliza kama kuna chuocha elimu ya juu chochote humu (zaidi ya 50 kwa sasa 2012) nchini Tz chenye hadhi ya kuitwa CHUO KIKUU? maana nimezungukia MLIMANI, ARDHI, MUHIMBILI...
Baraza la mitihani la tanzania (necta) limeweka utaratibu wa kutoa mtihani wa kufanya mchujo kwa darasa la nne kila mwaka. cha ajabu ni kwamba baraza hilo linatoa copy mojamoja kila wilaya ili...
Mkuu wangu wa chuo,mdhalimu,mwenye wivu,mabaguzi,Extravagant etc mbona hasikiki tena?.Ndugu zangu watanzania katika historia ya maisha yangu sijawahi kumwona mtu mwenye roho mbaya [na nadhani watu...
Karibuni all 1Year Bichimatunda or ostabei ya sua aka Tabora fulu entertainment,tours za kumwaga,watu wa mbele kibao and many others enjoyable thing njoo jionee mwenyewe wanakoishi maseneta na...
KAIMU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bw. Selestine Gesimba, ameushukuru Ubalozi wa China nchini kwa kutoa msaada wa vifaa vya maktaba ambavyo vitawasaidia wananchi kuongeza...
Wewe hakuna chuo bora....Ila kuna wanafunzi bora ambao wanaweza kutatua matatizo ya nchi.....Una nini kichwani,unatoa service gani,Vyuo ni kama daladala bora ufike...Chuo bora ni unani kichwani
Baada ya web ya mikopo kuto funguka now inafunguka na kunamabadiliko kama majina hayaonekani bali una search jina au unaandika index no then unasearch fasta utaona umepata au laa......c hivyo tu...
Ninafuatilia kongamano la mwl nyere: Jukumu la vijana katika kumuenzi mwl Nyerere na nimefurahiswa na mchangiaji mmoja ( bwakisa) ambae amewapa live maprofesa na madocta wa tz kuwa hawaandiki...
Leo ni tarehe ambayo wizara ya afya walipanga kuanza muhula kwa kozi za Certificate na Diploma kwa mujibu wa form zao za application. cha kushangaza mpaka sasa hata hizo selection zenyewe...
Tumeshasubmit missing particular kwa loan bordy tusubiri hadi lini loan bord watujibu maana hatujaweza hata kureport chuoni.tujuzeni mapema tujue lakufanya kama nikupostpon au vp.matumbo yetu...
Jamani wale tuliochaguliwa BHRM na tumekosa hostel za ndani Mzumbe tuwasiliane tujue nn cha kufanya mapema maana hostel za nje ni gharama balaa nicheck kwenye no.0786302961
Haki ya Mungu kama HESLB hamtakuwa wazi na kusema kama kuna kitu kinachoitwa SECOND BATCH, mtasababisha mauaji mitaani. nina imani na hakika kwamba huyu mnayemwita TAPELI ametumia mwanya wa SECOND...
kuna jamaa mmoja hapa mjini anaitwa deus torani huyu jamaa amekua akichukua fedha za wanafunzi wanaotarajia kwenda chuo hasa kwa wale waliokosa mkopo kuwa atawafanyia mpango majina yao yatoke...
kikiendelea kudhihirisha kuwa ni chuo kikongwe na chenye ubunifu wa hali ya juu, UDSM wametoa orodha ya FIRST YEAR LOAN ALLOCATIONS FOR 2012/2013 ACADEMIC YEAR - BATCH NUMBER 1 kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.