Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa yoyote aliye chaguliwa chuo cha kndi Dar ita naomba tutafutane mimi ninashida ya hostel sijui zinatosha au nianze mchakato wa kusearch room Mikocheni B.Tafadhari mwenye kujua au anayepiga pale...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
New LSE PhD Studentships support the brightest and the best research students The London School of Economics and Political Science (LSE) has launched a new flagship studentship scheme that will...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Naomba wana JF mnifahamishe juu ya hili: Kwa Watanzania wanaomiliki vyombo vya usafiri kama magari, wengi wao na kama si wote wamelamika kilipia bima magari hayo ambayo kwa hesabu ya kawaida...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana hebu nifumbueni kwa hili; nimeckia tetec ya kwamba kwa wale waloomba course wizara ya afya mwezi april kama vyeti vyako havikupigwa muhuri na mwanasheria wa serikali hauwezi kuchaguliwa...
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Naombeni mnifaamishe kama ifm inafundisha vizuri kozi hiyo ya computer science, pia naitaji kujua soko la ajila kwenye kozi hii.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kesho form 4 wanaanza mitihani ya mwisho,najua mtaani sahz pepa zmemwagwa mbya wakidai ndo yenyewe ya ngalichako,mwenye nazo hzo posible atupia hapa Jf tuone kama ni zakweli
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Naomba kuuliza waungwa hivi kcmc wanaingiza lini boom kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza maana hali ishaanza kuwa tete????
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wale wa SUA 1st batch imetoka ikiwa na mnyumbulisho mzuri na yakinifu......kweli chuo bora ni bora tu kwa kila kitu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mwenye kuelewa, nimeona HESLB wametoa nafasi ya kufanya appeal. from my reading it seems waliopata privilege ya ku-appeal ni wale ambao hawaridhiki na kiasi walichopata. IS THIS TRUE? Je wale...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanabodi mwenye taarifa kamili kuhusu boom udsm,maana chuo kimefungua lakini account hazijacheu,je tatizo ni nini? Maana hamna taarifa yoyote,je tutaishije maana hizo ndo pesa za kula. Naombeni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dah!leo nimefurahi kuweza kujiunga na great thinkers katika forum hii lakini kimtizamo wangu watu wangekuwa wanafanya posting ya vitu vya maana na si matusi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimechaguliwa Sua Rural Development nataka hamia Ifm Tax management je inalipa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nashindwa kuelewa, nina dogo amepata mkopo wa elimu 100% lakini anani ambia wenzake walio tangulia chuoni wanamwambioa anahitajika kwenda na 276,000/= kwa ajili ya malipo ya direct cost!!!!! Kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu, Nilikopeshwa shilingi 5,000 na kaka yangu nashilingi 5,000 na dada yangu, nikanunua shati kwa shilingi 9,700.Niliporudishiwa shilingi 300 nikaamua kupunguza deni, hivyo nikampa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa ya habari ya TBC1 imeonyesha wanafunzi 36 wameshindwa kufanya mtihahani wa Taifa unaondelea wa kidato cha nne, kisa eti hawakufaulu mtihani wa std 7 four years ago. Kisa eti hawakupata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
lengo ni kuweza kujuana mapema ili tuchukue hatua kama kutafuta hostel,tukifaamiana mapema na tukiwa pamoja hostel itatusaidia sana kimasoma,kama interested na ni mwana BAF nitext kwa namba hii...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau mbna kimya? Nao naomba possible, nackia pepa limevuja!
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ukiachilia mbali mlima kilimanjaro ambao umeingizwa ktk maajabu yanayopatikana Tanzania, serikali ingeingiza na hili la wanafunzi zaidi ya 5000 waliomaliza std 7 na wamechaguliwa kujiunga na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nasomea BA in Kiswahili, niko mwaka wa pili hapa Chuo Kikuu Dar es salaam. Karibuni nimejiwa na wazo la kubadili uelekeo wangu kikazi, nataka kuwa mwandishi wa habari, hasa habari za michezo...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
naombeni msaada wenu wana jf coz nataka kubadilisha facult kutoka bcom with education kwenda baf katika chuo hichohicho nataguliza shukrani za dhati
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom