Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

1.kusoma huku umeweka miguu kwenye ndoo ya maji 2.kulala na godoro darasani.......... 3.kuimba nyimbo........za kukkremishaaaaaaaa 4.kulala na madaftari darasani..... 5.kuzuzurura usiku na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nimepita katika pita pita zangu nimekuta watoto wanaosadikiwa kuwa ni watahiniwa wa mwaka huu wakipata viboko katika shule moja iko maeneo ya Kihonda magorofani kama mchezo wa kuigiza Je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwawale wanaSUA mnaotarajia kuondoka tar 6 jumamosi 2juane ili2peane campany.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji kuanzisha computer training centre, so kwa wale wajuvi wa vigezo na mlolongo unaotakiwa na veta ili kujisajiri basi wanijuze.
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Kama kuna mdau anaeish au kusoma St.Johns,nahitaji chumba hata ikiwa mbali kidogo na chuo....naanza safari kesho nikitarajia kufika keshokutwa j2......plz nicheki kwa 0787309945!!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu wana JF. Nilikaa kimya sana mdodosaji ila naamini ya kwamba kimya kingi kina mshindo mkuu. Jana nilikuwa ndani ya ofisi ya HESLB kuendelea kudodosa kulikoni sisi wa loan...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani mwenye taarifa kuusu hatima ya continuos tulio omba mikopo,ila majina yetu hayapo seemu yoyote atwambie jaman....
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tafadhali sana naomba mnielekeze jinsi ya kupata join instruction ya udom pamoja na medical form, natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
6K Views
UMM ni ugonjwa wenye maambukizi makubwa unaowapata ng’ombe, nguruwe, kondoo, mbuzi na nyati na ni ugonjwa mgumu sana kukabiliana nao. Kwa ujumla ni ugonjwa unawapata wanyama wote wenye kwato...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Waungwana nami niungane nanyi kwa hili. HESLB wametoa allocation na tuliokosa tumekosa. Ajabu kimya! hivi mkwanja wetu umeende hivihivi? hatustahili hata kupewa taarifa kwa nini tumekosa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Many students can't wait to be done with school, but not Michael Nicholson. The 71-year-old Michigan man has earned 29 college degrees and is now pursuing his 30th: Mr Michael...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa mnaowafuatilia hawa watu,kuna update yoyote wametoa?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepitia website yao wamejieleza vizuri sana ila sitaki kukurupuka nataka kufahamu kwanza kama kuna mtu yoyote humu aliewahi kupata mkopo kupitia kwa hawa jamaa ili kidogo anipe data kadhaa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani mimi nina pdf lakini hizi batc zinaonekana nusu ukurasa,,,yaani hazionekani fuul page,,,vp kwenu zinaonekanaje?????
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu na pia ni mwanachama wa chama hiki cha walimu Tanzania. Kwa ujumla hiki chama (CWT) hakipo kwa ajili ya manufaa ya walimu bali kwa manufaa ya mwajiri. Nasema hivi kwasababu walimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa nchi hii kuingiza siasa hata katika maeneo ambayo siasa haitakiwi kabisa. Hivi sasa ni kawida kukuta taaluma ya utabibu,kilimo na hata elimu ikiendeshwa kisiasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msishangae naombeni tafadhali mnielekeze
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu.vipi kuhusu wale continous students walioomba tena sijasikia kauli yoyote mpaka sasa.na vyuo ndo vinafunguliwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Allocation yenu hii hapa!!! http://www.suanet.ac.tz/docs/loan allocation 1st batch.pdf. Hata hivyo nawashauri wale mlo kosa hasa wale wa 2nd year mlo kosa mwaka jana na majina yenu hayaja apear...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
We studied in history about world wars the first and the second,but those causes we learnt were not the real major causes of that wars,all the first,second and the third which is soon going to...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…