Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Msaada nataka niangalie mchanganuo umeendaje lakin pale pakuandka surename,index no na password pamenichanganya? help me
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari zenu wadau wa Jukwaa hili la Elimu. leo maoni yangu yanaelekea kwa wanafunzi wa elimu ya juu na suala zima la matumizi ya madesa yanayojulikana vilevile kama vibomu. madesa hutumika sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kuwauliza wanachuo hasa wa UDOM VP ikiwa mtu amekosa Mkopo je upo uwezekano wa kujisomesha mwenyewe?.namzungumzia mtoto wa mkulima hukooooo kijijini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba anisaidie
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndug wanajukwaa poleni sana kwa shughuli na kukosa mikopo kwa baadhi ya wanachuo watarajiwa.Leo majira ya saa 12.06 jioni website ya bodi ya mikopo imeanza kufunguka na wameomba radhi kwa matatizo...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Vipi hatima ya mikopo kwa wale wanaoendelea na masomo? Maana mimi sielewi chochote mpaka sasa?,,,,,tufahamishane jamani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dear Applicants, The second round for the admission into Central Admission System is officially opened from 13th August, 2012 to 25th August,2012.Those...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutokana na bandwidth ya HESLB kufikia limit na traffic kuwa kubwa nmetumia google drive kuwarahisishia members wa jf kupata majina yawaliopata mkopo kutoka Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya...
4 Reactions
10 Replies
16K Views
Wednesday, 19 September 2012 19:13 Elizabeth Edward WANAFUNZI 3,937 waliodahiliwa kuanza masomo ya elimu ya juu mwaka 2012/13 katika vyuo mbalimbali nchini, wamekosa mikopo kutokana na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wanajf naombeni msaada kwa anayejua hawa jamaa wanatoalini majina ya waliochaguliwa kujiunga na course za diploma hapo chuo cha mipango dodoma...asanteni
0 Reactions
6 Replies
8K Views
wana jf kwanini matokeo ya darasa la saba hayatoki ???? Tangu nimalize shule ya msingi 1994 sijawahi kuyaona matokeo yangu, naelezwa kwa ujumla tu eti hujachaguliwa!!!!!!! nani huyo anayechagua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar wadau. naomba msaada aisee nimechaguliwa kujiunga mzumbe first year kozi ya eductn w but nimepata wazo la kusoma Bachelor of edu AT duce . so naomba kuuliza kama inawezekan kubadilisha na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF naombeni nafasi kidogo japo najua jukwaa lipo bize kupita kiasi Ndugu zangu najua kuna watu hadi sasa wanachekelea na wengine wamekwisha kata tamaa na kuanza kutafuta kazi za kufanya na...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Ninaomba unisaidiye kujibu yafuatayo: 1. Ikiwa nimepata loan 100% ninatakiwa niende na kiasi gani wakati wa usajili? 2. Je, kuna vyumba vya kupangisha karibu na chuo?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman m nko admitted DUCE na nmepewa mil. 3.1 mkopo ila fee n mil. 1.3,ambayo n kama asilimia 57.9 hv!! Sasa hicho kiasi kinachobaki tunatakiwa kuwa nacho wakati wa kuripot au tutakipeleka semster...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
jamani kinachotakiwa ni subra situnajua nchi yetu kwenye ishu ya teknolojia ni local
0 Reactions
15 Replies
7K Views
huu ni mfano wangu kias cha mkopo-3547500 ada-1200000 field-600000 meals and accomodation-1837500.. Kwa kuwa unatakiwa ulipie 282500 kabla ya tar 30 sept,iko kias hatuta kihusisha kwenye...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Jamani vipi hatima ya mikopo kwa wanaoendelea na masomo?,maana hapa mwenzenu nimechanganyikiwa,,,mwenye uelewa wowote tafadhalo naomba anipe taafifa natanguliza shukurani
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Kwa wale wote waliosoma Arusha Sekii, jmosi hii mnatakiwa kufika hapo shuleni ili kupanga jinsi gani maandalizi ya miaka hamsini yawe. karibuni sana wadau. 50 years si mchezo
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom