Nimemuona mkurugenzi wa bodi ya mikopo kupitia taarifa ya habari Chanel 10 akitangaza idadi ya wanafunzi ambao wamewapa mkopo na kusisitiza wanafunzi watembelee websit ya bodi ili waone % zao...
kuna kijana wa jirani yetu alidisco mwaka jana chuo flan huko mkoani morogoro,mwaka huu ameaply tena chuo lakn hakuapply mkopo ila cha ajabu heslb wametoa majina wamemweka kwenye category ya...
:baby: Hivi mwalimu anatakiwa akae kazini miaka mingapi ndo apate ruhusa ya kwenda masomoni kujiendeleza?Kwa sababu mimi nina miaka miwili na huu ni wa tatu lakini haujakamilika...
sijui hata wa kumlaumu nani..!!
Ni baada ya kukosa mkopo mimi mtoto wa MKULIMA.!
Kozi LLB ya pale Mzumbe.!!!
Waliopata mkopo mkasome na sio mkaendekeze hanasa.!!
Naomeni msaada,kwenye masomo mtu ambayo anatakiwa awe ameyasoma moja wapo ni criminal law and procedure au criminal law or procedure?kwa sababu mimi criminal law ilikuwa option so nikachagua somo...
Sasa mikopo imetoka muache kusumbua humu ukumbini, mmekuwa kero sana. Nenda shuleni kuanzia leo. Lecturers, Professors, wape kazi sana wakose hata muda wa kuja kujaa humu. Kipimo cha utendaji wa...
It has been a while now tangu tulipokuwa na kihoro cha kutaka kujua tcu na heslb kuna nini.Mengi yamesemwa na mengi yameandikwa hatimaye kila kitu kipo wazi wenye presha zimeshuka ila naamini...
Jamani kama jina la mtu halipo kabisa kwenye website ya bodi inamaanisha nini?kanyimwa mkopo au hata kama umenyimwa mkopo jina lako litakuwepo na litaaondikwa no loan?naomba ufafanuzi wajumbe
Ndugu zangu Wanajukwaa nilikuwa na hamu sana ya kuona mkopo umetoka kwa kuamini kuwa nitakuwa mmoja kati ya watu watakaobahatika kupata mkopo.Lakini baada ya kupitia majina ya watu waliopata...
Hawa jamaa wa loan board ni watabe sana,wamepiga kazi usiku na mchana kuhakikisha watoto wa wakulima hawalali na njaa chuoni.THANK GOD NIMEPATA MKOPO.THANK YOU VERY MUCH MR LOAN BOARD
Hakuna jina hata moja lililoonekana kwenye list ya waliopata mkopo.hivi hawa jamaa mbona wana wanyanyapaa sana equivalent student?Au hawa waliotajwa majina yao wao walilipa zaidi ktk...
Aisee yani hapa hata sielewi hatima ya skuli ni vipi. Kwa ufupi nimeapply loan lakini naona hayo majina ya leo simo. Nimeshapanic tayari yaani najiuliza ntasoma vipi hii elimu ya chuo. Nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.